Baada ya teuzi, sasa Media za Tanzania zimeshawekwa 'Mfukoni' na Mamlaka

Baada ya teuzi, sasa Media za Tanzania zimeshawekwa 'Mfukoni' na Mamlaka

Kuanzia sasa Media za Tanzania zitakuwa zinaweka bidii katika 'Kujipendekeza' kwa Mamlaka ( Serikali ) na Kusifia ( Kupanba ) mno ili Waandishi wake 'waule' katika 'Teuzi' na wala siyo katika Kuibua Taarifa Muhimu na yenye Tija kwa Maslahi na Maendeleo ya nchi.

Maziko ya Media Tanzania yamefana.
Screenshot_20210620-000739.png

Kinondoni + Kigamboni + Mwanga

#YNWA
 
Naendelea kujiuliza hizi course za POLITICAL SCIENCE zinakazi gani kama tunaokoteza okoteza tu viongozi kwa kuangalia umaarufu wao!

Kwann wasibebe wasomi/malecture ama watumishi wa serikali kwa nafasi hizi Zaid ya kuwajaza WAUZA sura na wapiga picha na kushinda instagram muda wote!

Hivi jokate kweli ni wa kupelekwa Temeke!
Kweli Nicki wa pili ndo mkuu wa wilaya?

Vyeo hivi havina hadhi tena labda Sasa tuseme ni mabalazo wa kuitangaza serikali na si wakuu wa wilaya
Wanadamu wote nisawaa. Acha wivu na fitina. Kama uko ivooo unajipalilia makaa ya laana ya mafanikio. Kwani hao uliowataja wanakosa gani??
 
Kuanzia sasa Media za Tanzania zitakuwa zinaweka bidii katika 'Kujipendekeza' kwa Mamlaka ( Serikali ) na Kusifia ( Kupanba ) mno ili Waandishi wake 'waule' katika 'Teuzi' na wala siyo katika Kuibua Taarifa Muhimu na yenye Tija kwa Maslahi na Maendeleo ya nchi.

Maziko ya Media Tanzania yamefana.
Kikubwa watu wapate teuzi. Hayo mengi baki nayo wewe.
 
Nadhani kati ya vyeo ambavyo havina hadhi wala umaana ni pamoja na hii nafasi ua uDC maana ni nafasi anayopewa mtu yeyote, kuanzia mcheza ngoma mpaka lecturer.
 
Naendelea kujiuliza hizi course za POLITICAL SCIENCE zinakazi gani kama tunaokoteza okoteza tu viongozi kwa kuangalia umaarufu wao!

Kwann wasibebe wasomi/malecture ama watumishi wa serikali kwa nafasi hizi Zaid ya kuwajaza WAUZA sura na wapiga picha na kushinda instagram muda wote!

Hivi jokate kweli ni wa kupelekwa Temeke!
Kweli Nicki wa pili ndo mkuu wa wilaya?

Vyeo hivi havina hadhi tena labda Sasa tuseme ni mabalazo wa kuitangaza serikali na si wakuu wa wilaya
Hapo hakuna wakuu wa wilaya. Kuna wawakilishi wa chama cha mapinduzi.
 
Nadhani kati ya vyeo ambavyo havina hadhi wala umaana ni pamoja na hii nafasi ua uDC maana ni nafasi anayopewa mtu yeyote, kuanzia mcheza ngoma mpaka lecturer.
vigezo ni hivi

1. Lazima uwe umegombea ubunge ukatemwa

2. Wasaliti wa vyama pinzani yaani mamluki akina katambi.
 
nao ni watanzania jamani, watanzania tuko zaidi ya 50mil....wengine tufanye kazi nyingine na walioteuliwa tuwaache wachape kazi..

Acheni wateuliwe wenye mtazamo wa kisasa labda wanaweza kuweka mambo sawa, kuliko kuendekeza hawa wasomi wetu wasio na exposure ya maisha mwisho wake disaster tu kila siku....

UDC ni cheo cha kisiasa kiko kwa ajili ya kulinda maslahi ya chama wilayani na kuhakikisha Rais anapata mwakilishi kila mahala....its like a robotic position and you will go according to the setting, if the switch is on you will be on...UDED na URAS naamini ndio vyeo vinavyohitaji wenye uelewa na wapiga kazi....

Mama utukumbuke na sisi waganga njaa wa humu JF bila kuwasahau wasafiri aka wakanyagiaji..
paragraph ya kwanza na ya pili 👍👍
 
Naendelea kujiuliza hizi course za POLITICAL SCIENCE zinakazi gani kama tunaokoteza okoteza tu viongozi kwa kuangalia umaarufu wao!

Kwann wasibebe wasomi/malecture ama watumishi wa serikali kwa nafasi hizi Zaid ya kuwajaza WAUZA sura na wapiga picha na kushinda instagram muda wote!

Hivi jokate kweli ni wa kupelekwa Temeke!
Kweli Nicki wa pili ndo mkuu wa wilaya?

Vyeo hivi havina hadhi tena labda Sasa tuseme ni mabalazo wa kuitangaza serikali na si wakuu wa wilaya

Yaani umtoe lecturer chuo akawe disii...naiona kama demotion [emoji23]
 
Back
Top Bottom