zege la nyasi
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 938
- 1,255
Naaam.....Kupulizia ( Kuroga ) + Kuhonga + Kumlilia wa Msoga + Kutoa Kafara + Maombi kidogo kwa Mungu + Kujipendekeza = Mama Kukuteua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naaam.....Kupulizia ( Kuroga ) + Kuhonga + Kumlilia wa Msoga + Kutoa Kafara + Maombi kidogo kwa Mungu + Kujipendekeza = Mama Kukuteua.
Utakuwa humjui Nikki mkuu.Kweli Nicki wa pili ndo mkuu wa
Amemaanisha nini hapo kwa ulivyomuelewa?.Gado kichaa kwelikweli.
Kuanzia sasa Media za Tanzania zitakuwa zinaweka bidii katika 'Kujipendekeza' kwa Mamlaka ( Serikali ) na Kusifia ( Kupanba ) mno ili Waandishi wake 'waule' katika 'Teuzi' na wala siyo katika Kuibua Taarifa Muhimu na yenye Tija kwa Maslahi na Maendeleo ya nchi.
Maziko ya Media Tanzania yamefana.
Wanadamu wote nisawaa. Acha wivu na fitina. Kama uko ivooo unajipalilia makaa ya laana ya mafanikio. Kwani hao uliowataja wanakosa gani??Naendelea kujiuliza hizi course za POLITICAL SCIENCE zinakazi gani kama tunaokoteza okoteza tu viongozi kwa kuangalia umaarufu wao!
Kwann wasibebe wasomi/malecture ama watumishi wa serikali kwa nafasi hizi Zaid ya kuwajaza WAUZA sura na wapiga picha na kushinda instagram muda wote!
Hivi jokate kweli ni wa kupelekwa Temeke!
Kweli Nicki wa pili ndo mkuu wa wilaya?
Vyeo hivi havina hadhi tena labda Sasa tuseme ni mabalazo wa kuitangaza serikali na si wakuu wa wilaya
CCM hawataki watu wenye akili nyingi kama Pascal MayallaPasco Mayala vipi wamemsahau ama
Kikubwa watu wapate teuzi. Hayo mengi baki nayo wewe.Kuanzia sasa Media za Tanzania zitakuwa zinaweka bidii katika 'Kujipendekeza' kwa Mamlaka ( Serikali ) na Kusifia ( Kupanba ) mno ili Waandishi wake 'waule' katika 'Teuzi' na wala siyo katika Kuibua Taarifa Muhimu na yenye Tija kwa Maslahi na Maendeleo ya nchi.
Maziko ya Media Tanzania yamefana.
Hapo hakuna wakuu wa wilaya. Kuna wawakilishi wa chama cha mapinduzi.Naendelea kujiuliza hizi course za POLITICAL SCIENCE zinakazi gani kama tunaokoteza okoteza tu viongozi kwa kuangalia umaarufu wao!
Kwann wasibebe wasomi/malecture ama watumishi wa serikali kwa nafasi hizi Zaid ya kuwajaza WAUZA sura na wapiga picha na kushinda instagram muda wote!
Hivi jokate kweli ni wa kupelekwa Temeke!
Kweli Nicki wa pili ndo mkuu wa wilaya?
Vyeo hivi havina hadhi tena labda Sasa tuseme ni mabalazo wa kuitangaza serikali na si wakuu wa wilaya
vigezo ni hiviNadhani kati ya vyeo ambavyo havina hadhi wala umaana ni pamoja na hii nafasi ua uDC maana ni nafasi anayopewa mtu yeyote, kuanzia mcheza ngoma mpaka lecturer.
Atapata UdasiCCM hawataki watu wenye akili nyingi kama Pascal Mayalla
Afisa kipenyo huyuPasco Mayala vipi wamemsahau ama
unajaribu kufiti in😅😅😅Chuma JPM kilinoa chuma SSH
Endelea kupumzika kwa amani kipenzi chetu JPM
Mungu tunakuomba tutunzie mama yetu Rais Samia Suluhu Hassan na kazi iendelee
poa tuKupulizia ( Kuroga ) + Kuhonga + Kumlilia wa Msoga + Kutoa Kafara + Maombi kidogo kwa Mungu + Kujipendekeza = Mama Kukuteua.
paragraph ya kwanza na ya pili 👍👍nao ni watanzania jamani, watanzania tuko zaidi ya 50mil....wengine tufanye kazi nyingine na walioteuliwa tuwaache wachape kazi..
Acheni wateuliwe wenye mtazamo wa kisasa labda wanaweza kuweka mambo sawa, kuliko kuendekeza hawa wasomi wetu wasio na exposure ya maisha mwisho wake disaster tu kila siku....
UDC ni cheo cha kisiasa kiko kwa ajili ya kulinda maslahi ya chama wilayani na kuhakikisha Rais anapata mwakilishi kila mahala....its like a robotic position and you will go according to the setting, if the switch is on you will be on...UDED na URAS naamini ndio vyeo vinavyohitaji wenye uelewa na wapiga kazi....
Mama utukumbuke na sisi waganga njaa wa humu JF bila kuwasahau wasafiri aka wakanyagiaji..
Walienda kwa mwamposa kukanya mafuta y sandropKupulizia ( Kuroga ) + Kuhonga + Kumlilia wa Msoga + Kutoa Kafara + Maombi kidogo kwa Mungu + Kujipendekeza = Mama Kukuteua.
Naendelea kujiuliza hizi course za POLITICAL SCIENCE zinakazi gani kama tunaokoteza okoteza tu viongozi kwa kuangalia umaarufu wao!
Kwann wasibebe wasomi/malecture ama watumishi wa serikali kwa nafasi hizi Zaid ya kuwajaza WAUZA sura na wapiga picha na kushinda instagram muda wote!
Hivi jokate kweli ni wa kupelekwa Temeke!
Kweli Nicki wa pili ndo mkuu wa wilaya?
Vyeo hivi havina hadhi tena labda Sasa tuseme ni mabalazo wa kuitangaza serikali na si wakuu wa wilaya