Huyo jamaa hajielewi kabisa. Anataka nafasi zote za kisiasa wawekwe waliosoma Political Science tuUtakuwa humjui Nikki mkuu.
Halafu alikwambia nani kusoma political science ndiyo kuwa kiongozi mzuri?
Mandela aliyesifika Sana Afrika alisoma sheria. Nyerere alikuwa Mwalimu.
Zuma hakusoma kabisa!
Political science tayari imefeli kwa kutuletea mtu kama wewe .... yaani una sema 'wanaokotezaokoteza WATU kuwa viongozi'? ACHA MATUSI WE KILAZA!Naendelea kujiuliza hizi course za POLITICAL SCIENCE zinakazi gani kama tunaokoteza okoteza tu viongozi kwa kuangalia umaarufu wao!
Kwann wasibebe wasomi/malecture ama watumishi wa serikali kwa nafasi hizi Zaid ya kuwajaza WAUZA sura na wapiga picha na kushinda instagram muda wote!
Hivi jokate kweli ni wa kupelekwa Temeke!
Kweli Nicki wa pili ndo mkuu wa wilaya?
Vyeo hivi havina hadhi tena labda Sasa tuseme ni mabalazo wa kuitangaza serikali na si wakuu wa wilaya
Toa ushamba wΓ ko Ronald Reagan Γ likuwa nani kabla hajawa rais wa mΓ rekani.?DC darasa la saba
DC PhD holder
DC mgambo
DC mkuu wa majeshi mstaafu
DC ..waziri wa zamani
DC muigizaji bongo movie...
Hiki ndo cheo cha ajabu kuliko vyote Tanzania
Mshamba wewe ambae hujui tunazungumzia Ma DC na sio urais wa Marekani..Toa ushamba wΓ ko Ronald Reagan Γ likuwa nani kabla hajawa rais wa mΓ rekani.?
OK Sokoine alikuwa nani kabla hajΓ wa waziri mkuu? Kwani Uongozi ni kusoma?Mshamba wewe ambae hujui tunazungumzia Ma DC na sio urais wa Marekani..
Au kila Dc ana qualify kuwa Rais wa Marekani?
OK Sokoine alikuwa nani kabla hajΓ wa waziri mkuu? Kwani Uongozi ni kusoma?
Wew mtoto utakuwa shoga, aliyekwambia Nkki na Jokate hawana elimu ni nani ?Naendelea kujiuliza hizi course za POLITICAL SCIENCE zinakazi gani kama tunaokoteza okoteza tu viongozi kwa kuangalia umaarufu wao!
Kwann wasibebe wasomi/malecture ama watumishi wa serikali kwa nafasi hizi Zaid ya kuwajaza WAUZA sura na wapiga picha na kushinda instagram muda wote!
Hivi jokate kweli ni wa kupelekwa Temeke!
Kweli Nicki wa pili ndo mkuu wa wilaya?
Vyeo hivi havina hadhi tena labda Sasa tuseme ni mabalazo wa kuitangaza serikali na si wakuu wa wilaya
Fanya na wewe ili uteuliwa kama una msuli huoKupulizia ( Kuroga ) + Kuhonga + Kumlilia wa Msoga + Kutoa Kafara + Maombi kidogo kwa Mungu + Kujipendekeza = Mama Kukuteua.
Jokate mbona ni msomi, na kagraduate juzi tu miezi ilopita kasoma uongozi institute,Naendelea kujiuliza hizi course za POLITICAL SCIENCE zinakazi gani kama tunaokoteza okoteza tu viongozi kwa kuangalia umaarufu wao!
Kwann wasibebe wasomi/malecture ama watumishi wa serikali kwa nafasi hizi Zaid ya kuwajaza WAUZA sura na wapiga picha na kushinda instagram muda wote!
Hivi jokate kweli ni wa kupelekwa Temeke!
Kweli Nicki wa pili ndo mkuu wa wilaya?
Vyeo hivi havina hadhi tena labda Sasa tuseme ni mabalazo wa kuitangaza serikali na si wakuu wa wilaya
Umeshamaliza Kusafisha Bafu na Choo hapo ulikopanga Jirani na hiyo Lodge yenye Vioo vya Tinted ambayo uko nayo Jirani tu hapo ulikopanga?Fanya na wewe ili uteuliwa kama una msuli huo
Mna dharau zimewajaa ndio maana mnaachwa midomo wazi hamuaminiNadhani kati ya vyeo ambavyo havina hadhi wala umaana ni pamoja na hii nafasi ua uDC maana ni nafasi anayopewa mtu yeyote, kuanzia mcheza ngoma mpaka lecturer.
Mteue awe dc wa moyo wakoSijui kwanini ' Michael Sarpong ' hayupo.
Mzigo mpya wa viroba umeshafika, njoo chukua viroba vyakoUmeshamaliza Kusafisha Bafu na Choo hapo ulikopanga Jirani na hiyo Lodge yenye Vioo vya Tinted ambayo uko nayo Jirani tu hapo ulikopanga?
Mzigo mpya wa viroba umeshafika, njoo chukua viroba vyako
Toa ushamba wΓ ko Ronald Reagan Γ likuwa nani kabla hajawa rais wa mΓ rekani.?
Tabu kweli kweli haina maanaNaendelea kujiuliza hizi course za POLITICAL SCIENCE zinakazi gani kama tunaokoteza okoteza tu viongozi kwa kuangalia umaarufu wao!
Kwann wasibebe wasomi/malecture ama watumishi wa serikali kwa nafasi hizi Zaid ya kuwajaza WAUZA sura na wapiga picha na kushinda instagram muda wote!
Hivi jokate kweli ni wa kupelekwa Temeke!
Kweli Nicki wa pili ndo mkuu wa wilaya?
Vyeo hivi havina hadhi tena labda Sasa tuseme ni mabalazo wa kuitangaza serikali na si wakuu wa wilaya
Mshamba tu huyoJamaa dizain kama kapanic hivi[emoji3][emoji3][emoji3]