sembo
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 4,350
- 3,451
Mpaka sasa TPL imekosa ushindani kabisa.. Ligi imeanza Bingwa kashajulikana mapema naye si mwingine bali ni Simba SC. Njia pekee ya kuwapa changamoto hawa mabingwa watarajiwa, ni kuigawa hii timu, na kutengeza timu 2. Hii itawapunguza kasi hawa jamaa.. Pia itapunguza dozi zinazotolewa kwa timu pinzani. Timu hizo 2 ziwe kama ifuatavyo:
Team A.
1. Aishi Manula
2. Shomary Kapombe
3. Mohammed Hussein
4. Erasto Nyoni
5. Yusuph Mlipili
6. Jonas Mkude
7. Mohammed Ibrahim
8. Hassan Dilunga
9. John Bocco
10. Emmanuel Okwi
11. Adam Salamba
Kikosi Cha Akiba
1. Ally Salim
2. Vicent Costa
3. Abdul Seleman
4. Mzamiru Yasin
5. Rashid Juma
6. Abdul Hamis
Team B.
1. Deogratius Munishi
2. Nicolas Gyan
3. Asante Kwasi
4. Paul Bukaba
5. Pascal Wawa
6. James Kotei
7. Mohammed Rashid
8. Cletus Chama
9. Meddie Kagere
10. Haruna Niyonzima
11. Shiza Kichuya
Kikosi Cha Akiba
1. Salim Mbonde
2. Ally Somari
3. Marcel Kaheza
4. Said Ndemla
5. Kitandu Moses
Hii itaongeza ushindani, na bingwa anaweza akaamuliwa mechi ya mwisho ya ligi.. Lakini lisipofanyika hili mwakani mapema tu.. Simba SC anakabidhiwa kombe lake.
NB: Jana Mnyama kaendeleza wimbi la ushindi kwa msimu huu wa 2018/19 baada ya kuwagagadua ipasavyo timu bora toka Kenya, AFC Leopards 4 - 2.
Angalizo: Okwi, MK14 na Chama hawakuwepo.
Team A.
1. Aishi Manula
2. Shomary Kapombe
3. Mohammed Hussein
4. Erasto Nyoni
5. Yusuph Mlipili
6. Jonas Mkude
7. Mohammed Ibrahim
8. Hassan Dilunga
9. John Bocco
10. Emmanuel Okwi
11. Adam Salamba
Kikosi Cha Akiba
1. Ally Salim
2. Vicent Costa
3. Abdul Seleman
4. Mzamiru Yasin
5. Rashid Juma
6. Abdul Hamis
Team B.
1. Deogratius Munishi
2. Nicolas Gyan
3. Asante Kwasi
4. Paul Bukaba
5. Pascal Wawa
6. James Kotei
7. Mohammed Rashid
8. Cletus Chama
9. Meddie Kagere
10. Haruna Niyonzima
11. Shiza Kichuya
Kikosi Cha Akiba
1. Salim Mbonde
2. Ally Somari
3. Marcel Kaheza
4. Said Ndemla
5. Kitandu Moses
Hii itaongeza ushindani, na bingwa anaweza akaamuliwa mechi ya mwisho ya ligi.. Lakini lisipofanyika hili mwakani mapema tu.. Simba SC anakabidhiwa kombe lake.
NB: Jana Mnyama kaendeleza wimbi la ushindi kwa msimu huu wa 2018/19 baada ya kuwagagadua ipasavyo timu bora toka Kenya, AFC Leopards 4 - 2.
Angalizo: Okwi, MK14 na Chama hawakuwepo.