The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,942
- 20,077
Baada ya Trump kuzundua mtandao wake wa kijamii mwezi uliopita, Tajiri Elon Musk anafikiria kuzindua mtandao wake mpya ambao utawapa watu uhuru kamili wa kutoa maoni.
Ikumbukwe kwamba hata Trump analaumu kwamba mitandao iliyopo inaminya uhuru wa watu kujieleza, inapangia watu waandike nini waache nini.
Elon pia anasema mitandao ya kijamii kama Twitter imekuwa sio salama tena kwa kutoa maoni huru.
Watu kibao wanamshauri ainunue Twitter ili aipe uhuru kamili na watu watoe maoni wanavyotaka ama azindue mtandao wake mpya.
Tusubiri tuone.
Ikumbukwe kwamba hata Trump analaumu kwamba mitandao iliyopo inaminya uhuru wa watu kujieleza, inapangia watu waandike nini waache nini.
Elon pia anasema mitandao ya kijamii kama Twitter imekuwa sio salama tena kwa kutoa maoni huru.
Watu kibao wanamshauri ainunue Twitter ili aipe uhuru kamili na watu watoe maoni wanavyotaka ama azindue mtandao wake mpya.
Tusubiri tuone.
Bloomberg - Are you a robot?
www.bloomberg.com