Baada ya Trump Kuchaguliwa kuwa Rais Tutegemee Makubwa Kutoka kwa Elon Musk

Baada ya Trump Kuchaguliwa kuwa Rais Tutegemee Makubwa Kutoka kwa Elon Musk

Ata uku chura kiziwi anajua kabsa kwa box hatoboi
 
Umenena vyema, mtu mwenye akili timamu lazima ujiulize maswali mengi.

Au pengine ana connection huko kwenye deep state waliompa uhakika?
Ndio maana Elon kafanikiwa huku sisi tukiendelea kua masikini. Mentality yake ndio sababu, anaonekana anapotaka jambo lake nimtu wa kujilipua. Either azame au aibuke mshindi.
 
Exactly 💯 napitia baadhi ya machapisho kule X naona wa marekani wenyewe Wana Mponda Sana bill gate na washirika wake (WEF) Wana wahusisha na Apendemic ya Corona wanafika mbali zaidi wanasema wanapaswa kuchukuliwa hatua Wana waita mashetani, Wana Amini kuwa walitaka Kamala ashinde ili Wazidi kupush agenda zao
Umenena vyema, mtu mwenye akili timamu lazima ujiulize maswali mengi.

Au pengine ana connection huko kwenye deep state waliompa uhakika?
 
uzuri wa wezetu huko majuu mtu kama Musk kupata teuzi sio sehemu ya kuja Ili aibe ajitajirishe bali sehemu kuja kutimiza ndoto zake katika kulitumikia taifa lake na kuandika historia chanya .
 
Bilgate sijui anajisikiaje
Kaumbuka Sana 🤣🤣

Tena Wana msakama Sana huko X wanamuita shetani , Barack Obama na kina Beyonce sijui nyuso zao wataziweka wapi Beyonce alikuwa anajifanya anajua alimpiga ban trump eti asitumie wimbo wake ktk kampeni demu alini kera Sana Yule
 
Back
Top Bottom