Baada ya Trump kumdhalilisha Zelensky, Waziri Mkuu wa Uingereza atangaza kuwa UK iko tayari kupeleka wanajeshi wake Ukraine

Baada ya Trump kumdhalilisha Zelensky, Waziri Mkuu wa Uingereza atangaza kuwa UK iko tayari kupeleka wanajeshi wake Ukraine

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Baada ya Trump kuonekana kuanza kuringaringa na kumnyanyasa Ukraine, Uingereza imeamua kuuvaa wenyewe huu ugomvi.

Akiwa anaongea hivi karibuni, Starmer amesema kuwa ukiachana na Euro Bilioni 2, Uingereza pia iko tayari kupeleka wanajeshi wake Ukraine kupambana na Urusi na pia iko tayari kupeleka ndege zake za kivita

========================================

Starmer inabidi ajitafakari sana.

Yaani Marekani ikiamua, hata yeye anaweza kuondolewa madarakani vilevile.

Mzee ajitafakari sana huyu

keir keir.png



 
Ni jambo jema..
UK hawapo pekee kwa msimamo huo, kuna France, Germany, Italy, Poland, nk.

Trump amepuyanga pakubwa kwa hili.
Anajaribu kulipa fadhila binafsi kwa Warusi..

 
Kwa jeshi gani alilo nalo U.K?
The UK Army is considered a strong military force, with a reputation for high quality training and advanced equipment, although its overall size is smaller compared to other major powers like the US and Russia; according to recent rankings, it is often placed around the 6th position in terms of military strength worldwide....
 
Said it. Trump akishindwa kumsaidia wengine watamsaidia bila kumdhalilisha.

Trump ni 🗑️.

Tho Marekani hawezi kubadilisha maamuzi ya UK kwa namna yoyote ile. Sababu UK haindeshwi kama genge la nyanya.
UK ni very developed kiitelijensia na Uhuru wa maoni plus watu ndo wanaamua nini kifanyike. Pm ni mwakilishi tu
 
Said it. Trump akishindwa kumsaidia wengine watamsaidia bila kumdhalilisha.

Trump ni 🗑️.
Hao wakisaidia ndani ya miezi miwili tu nchi zao yataanza maandamano ya maisha magumu na uchaguzi wa ghafla utaitishwa mtu anatolewa kwenye uongozi......Ulaya wapo kwenye mtego mbaya sana......Ujerumani kasaidia sahv wana chancellor mpya
 
The UK Army is considered a strong military force, with a reputation for high quality training and advanced equipment, although its overall size is smaller compared to other major powers like the US and Russia; according to recent rankings, it is often placed around the 6th position in terms of military strength worldwide....
maneno kama haya ndio mliokuwa mnayatumia kutudanganya pia kuhusu israel,
 
Wakuu,

Baada ya Trump kuonekana kuanza kuringaringa na kumnyanyasa Ukraine, Uingereza imeamua kuuvaa wenyewe huu ugomvi.

Akiwa anaongea hivi karibuni, Starmer amesema kuwa ukiachana na Euro Bilioni 2, Uingereza pia iko tayari kupeleka wanajeshi wake Ukraine kupambana na Urusi na pia iko tayari kupeleka ndege zake za kivita

========================================

Starmer inabidi ajitafakari sana.

Yaani Marekani ikiamua, hata yeye anaweza kuondolewa madarakani vilevile.

Mzee ajitafakari sana huyu

Wamefika hapo walipo (kupigana na Russia) kwa msaada wa Marekani je wakienda wenyewe wataweza?

Ndo maana hiyo proposal wataipeleka kwa Trump ambae ndie atakaeamua iweje lakini Russia msimamo upo palepale.
 
Hao wakisaidia ndani ya miezi miwili tu nchi zao yataanza maandamano ya maisha magumu na uchaguzi wa ghafla utaitishwa mtu anatolewa kwenye uongozi......Ulaya wapo kwenye mtego mbaya sana......Ujerumani kasaidia sahv wana chancellor mpya
UK hakurupuki, Kwanza UK ametoa msaada mkubwa zaidi ya marekani na bado anonyesha msimamo wake wa kuisaidia Ukraine bila Kona Kona za kitapeli.

na Chancellor wa Germany hajaachia nafasi kwa Sababu ya kuisaidia Ukraine.

Simple. Ukiona nchi yoyote yenye stable economy na inaeshimu maoni ya wananchi kama UK na Germany just know PM/Chancellor ni wawakilishi Tu wa maamuzi ya wananchi.
 
Ni jambo jema..
UK hawapo pekee kwa msimamo huo, kuna France, Germany, Italy, Poland, nk.

Trump amepuyanga pakubwa kwa hili.
Anajaribu kulipa fadhila binafsi kwa Warusi..

Trump ni Putin Agent,
 
Back
Top Bottom