Baada ya tukio la TRA Tegeta sasa hivi kila usiku polisi wanakamata watu na kuunganishwa kwenye kesi, huu ni uonevu

Baada ya tukio la TRA Tegeta sasa hivi kila usiku polisi wanakamata watu na kuunganishwa kwenye kesi, huu ni uonevu

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Nimetoka hapo Tegeta one time, wakati naperuzi peruzi hapo ndio nikaipata hii.

Ni kwamba baada ya tukio lile la TRA sasa hivi kila siku polisi wanaenda maeneo hayo saa nne usiku, ukikutwa unazubaa zubaa hapo hakuna cha msalia mtume, wanakubeba kama mtuhumiwa na wewe unaingizwa kwenye kesi.

Majuzi wanasema polisi walienda mchana na difenda wakiwa na boda watatu ambao wamechakazwa kwa kipigo, walipofika pale boda walikuwa wananyoosha vidole tu kwa bajaji na boda waliokuwa hapo, walioangukiwa na vidole wakasombwa. Kwa mazingira hayo its obvious mtu ananyoosha mkono tu apate ahueni ya vipigo.

Pia soma: Jeshi la Polisi linawashikilia watu 4 kwa tuhuma za mauji ya Mtumishi wa TRA Amani Simbayao kutoka tukio la Tegeta

Kwahiyo ni mwendo wa kubambikiwa kesi tu. Boda na bajaji sasa hivi wako mguu sawa hapo, ikikaribia saa nne watu wanajiondokea kwa hofu ya kujumuishwa kwenye sakata hilo.

Sasa hivi ukipata tatizo maeneo hayo hata ufanye nini hupati msaada kwa terror iloyosambazwa hapo.

Huu ni uonevu wa hali ya juu, na mnatengeneza bomu jingine watu waanze kuvizia polisi na kuwawahi kabla hawajawahiwa. Hivi ndio mnafanya uchunguzi kwa kufosi kukamata watu hovyo na kubambikia kesi?

Mngekuwa mnatumia nguvu hii kukamata wasiyojulikana wlkwenye matukio lukuki yaliyotokea nchini tusingefika huku.

Fanyeni kazi kwa weledi na si huu uhalifu mnafanya, mnazidi kuharibu na kubomoa badala ya kujenga.
 
Wakuu,

Nimetoka hapo Tegeta one time, wakati naperuzi peruzi hapo ndio nikaipata hii.

Ni kwamba baada ya tukio lile la TRA sasa hivi kila siku polisi wanaenda maeneo hayo saa nne usiku, ukikutwa unazubaa zubaa hapo hakuna cha msalia mtume, wanakubeba kama mtuhumiwa na wewe unaingizwa kwenye kesi.

Majuzi wanasema polisi walienda mchana na difenda wakiwa na boda watatu ambao wamechakazwa kwa kipigo, walipofika pale boda walikuwa wananyoosha vidole tu kwa bajaji na boda waliokuwa hapo, walioangukiwa na vidole wakasombwa. Kwa mazingira hayo its obvious mtu ananyoosha mkono tu apate ahueni ya vipigo.

Kwahiyo ni mwendo wa kubambikiwa kesi tu. Boda na bajaji sasa hivi wako mguu sawa hapo, ikikaribia saa nne watu wanajiondokea kwa hofu ya kujumuishwa kwenye sakata hilo.

Sasa hivi ukipata tatizo maeneo hayo hata ufanye nini hupati msaada kwa terror iloyosambazwa hapo.

Huu ni uonevu wa hali ya juu, na mnatengeneza bomu jingine watu waanze kuvizia polisi na kuwawahi kabla hawajawahiwa. Hivi ndio mnafanya uchunguzi kwa kufosi kukamata watu hovyo na kubambikia kesi?

Mngekuwa mnatumia nguvu hii kukamata wasiyojulikana wlkwenye matukio lukuki yaliyotokea nchini tusingefika huku.

Fanyeni kazi kwa weledi na si huu uhalifu mnafanya, mnazidi kuharibu na kubomoa badala ya kujenga.
Nasikia na wewe wanakutafuta! Vipi hawajakupata tu?
 
Wakuu,

Nimetoka hapo Tegeta one time, wakati naperuzi peruzi hapo ndio nikaipata hii.

Ni kwamba baada ya tukio lile la TRA sasa hivi kila siku polisi wanaenda maeneo hayo saa nne usiku, ukikutwa unazubaa zubaa hapo hakuna cha msalia mtume, wanakubeba kama mtuhumiwa na wewe unaingizwa kwenye kesi.

Majuzi wanasema polisi walienda mchana na difenda wakiwa na boda watatu ambao wamechakazwa kwa kipigo, walipofika pale boda walikuwa wananyoosha vidole tu kwa bajaji na boda waliokuwa hapo, walioangukiwa na vidole wakasombwa. Kwa mazingira hayo its obvious mtu ananyoosha mkono tu apate ahueni ya vipigo.

Kwahiyo ni mwendo wa kubambikiwa kesi tu. Boda na bajaji sasa hivi wako mguu sawa hapo, ikikaribia saa nne watu wanajiondokea kwa hofu ya kujumuishwa kwenye sakata hilo.

Sasa hivi ukipata tatizo maeneo hayo hata ufanye nini hupati msaada kwa terror iloyosambazwa hapo.

Huu ni uonevu wa hali ya juu, na mnatengeneza bomu jingine watu waanze kuvizia polisi na kuwawahi kabla hawajawahiwa. Hivi ndio mnafanya uchunguzi kwa kufosi kukamata watu hovyo na kubambikia kesi?

Mngekuwa mnatumia nguvu hii kukamata wasiyojulikana wlkwenye matukio lukuki yaliyotokea nchini tusingefika huku.

Fanyeni kazi kwa weledi na si huu uhalifu mnafanya, mnazidi kuharibu na kubomoa badala ya kujenga.
Watanzania tumekuwa waoga mno ndiyo maana. Wacha tuchapwe pengine tutazibuka. Nchi ina polisi wangapi? Polisi wako mtaani muda wote na wanalala hizi hizi nyumba tunazolala. Wanakunywa hizi hizi bar zetu na kula hizi hizi hotel zetu na kununua haya haya maduka yetu.
 
Watanzania tumekuwa waoga mno ndiyo maana. Wacha tuchapwe pengine tutazibuka. Nchi ina polisi wangapi? Polisi wako mtaani muda wote na wanalala hizi hizi nyumba tunazolala. Wanakunywa hizi hizi bar zetu na kula hizi hizi hotel zetu na kununua haya haya maduka yetu.
We unaongea tu mkuu
 
Kuingia bure, kutoka hela. Ila tuna mifumo mibaya sana tena sana juu ya ukamataji kutokana na matukio. Yaani hapo polisi watakula hela kwa kila anayekamatwa. Kibaya na nchi hatuna wana sheria proactive wa kuwatetea. Maana hapo watambambikwa kesi balaa. Tuwaulize polisi je waliomuua mzee kibao wamekamatwa ?? Je mmliki au dereva wa basi kakamatwa???? Kwanza inasemekana huyo dereva aliua mtoto wakati anakimbiza gari ndiyo maana na yeye akauawa je haki ya huyo mtoto aliyeuawa imepatikana na nani kakamatwa?? Jambo linginr baya hatuna waandishi wa habari wachunguzi.
 
Watanzania tumekuwa waoga mno ndiyo maana. Wacha tuchapwe pengine tutazibuka. Nchi ina polisi wangapi? Polisi wako mtaani muda wote na wanalala hizi hizi nyumba tunazolala. Wanakunywa hizi hizi bar zetu na kula hizi hizi hotel zetu na kununua haya haya maduka yetu.
Si uanze wewe kuwashambulia hao polisi. Wewe uko huko unaosha mavi ya mabeberu halafu unataka watz eti wafuate ushauri wako huo wakidunzi. Hao waliofuata ushauri wa Boni Yai sasa hivi wanapata kibano cha nguvu na huyo Boni Yai ametulia huko kwake na familia yake. Watz wanaojitambua hawawezi fuata ushauri wako wa kijinga na kinyumbu hivyo! Shithole.
 
Sasa hiyo haitazidishq chuki kwa wananchi zidi ya Serikali na jeshi la polisi kweli ??

Mambo mengine Mbona kama yanahitaji hekima ndogo sana kuyasema Sawa tu kuliko hivyo ?!
 
Wakuu,

Nimetoka hapo Tegeta one time, wakati naperuzi peruzi hapo ndio nikaipata hii.

Ni kwamba baada ya tukio lile la TRA sasa hivi kila siku polisi wanaenda maeneo hayo saa nne usiku, ukikutwa unazubaa zubaa hapo hakuna cha msalia mtume, wanakubeba kama mtuhumiwa na wewe unaingizwa kwenye kesi.

Majuzi wanasema polisi walienda mchana na difenda wakiwa na boda watatu ambao wamechakazwa kwa kipigo, walipofika pale boda walikuwa wananyoosha vidole tu kwa bajaji na boda waliokuwa hapo, walioangukiwa na vidole wakasombwa. Kwa mazingira hayo its obvious mtu ananyoosha mkono tu apate ahueni ya vipigo.

Kwahiyo ni mwendo wa kubambikiwa kesi tu. Boda na bajaji sasa hivi wako mguu sawa hapo, ikikaribia saa nne watu wanajiondokea kwa hofu ya kujumuishwa kwenye sakata hilo.

Sasa hivi ukipata tatizo maeneo hayo hata ufanye nini hupati msaada kwa terror iloyosambazwa hapo.

Huu ni uonevu wa hali ya juu, na mnatengeneza bomu jingine watu waanze kuvizia polisi na kuwawahi kabla hawajawahiwa. Hivi ndio mnafanya uchunguzi kwa kufosi kukamata watu hovyo na kubambikia kesi?

Mngekuwa mnatumia nguvu hii kukamata wasiyojulikana wlkwenye matukio lukuki yaliyotokea nchini tusingefika huku.

Fanyeni kazi kwa weledi na si huu uhalifu mnafanya, mnazidi kuharibu na kubomoa badala ya kujenga.
CC: Bashungwa
 
Ile kzi ni kama ya ina laana vile, lazima uwe dhulumati, muonevu ili mkono uende kinywani
 
Back
Top Bottom