Wewe ni zaidi ya kinyaa! Wewe unaona mtu kuwawa ni sawa au? Kama itabidi wauwawe kabisa na wao kama walivyomua huyo mfanyakazi wa TRA bila sababu yoyote pia kama na wewe ulishiriki wakutafute wakushughulikie kisawasawa. Yaani unawatetea wauaji sasa wewe tukuite nani kama siyo muuaji kama hao!We nawe embu tutolee uchawa wako unaotia kinyaa