Baada ya Tulia Ackson kuchukua fomu ya kuomba Uspika, kwanini nafasi ya Naibu Spika nayo isitangazwe kuwa wazi?

Ndio maana watu hawataki uwaziri wala uwaziri mkuu wanautaka Urais,kwa hiyo ni kawaida
 
Nadhani kwa utaratibu ni hadi ateuliwe kugombea nafasi hiyo na chama chake ndipo nafasi ya naibu spika itakuwa wazi. Kwa sasa ametangaza nia tu hivyo haiathiri nafasi yake ya unaibu spika.
 
Nadhani kwa utaratibu ni hadi ateuliwe kugombea nafasi hiyo na chama chake ndipo nafasi ya naibu spika itakuwa wazi. Kwa sasa ametangaza nia tu hivyo haiathiri nafasi yake ya unaibu spika.
umeokota wapi hilo ?
 
Tulia anataka kugombea ubunge au udiwani ?
Ni katika mlolongo ule ule wa mtumishi wa umma kutaka kugombea nafasi ya uongozi. Kwamba kuchukua fomu peke yake haku-guarantee au kuthibitisha kuwa wewe ni mgombea kwa kuwa unaweza kushindwa kurudisha na hata kama utarudisha ukashindwa kuteuliwa kugombea.

Kwa nafasi ya ubunge na udiwani mtumishi hutakiwa kuomba likizo bila malipo kwa sababu process ya kuchukua fomu hadi kuteuliwa huchukua zaidi ya miezi mitatu. Na mtumishi asipoteuliwa hurudi kazini katika nafasi yake ile ile.

Kwa nafasi hii ya uspika, kwa kuwa process ya kuchukua fomu na kuteuliwa ni chini ya mwezi mmoja, mtumishi hatakiwi kujiuzulu nafasi yake hadi atakapoteuliwa rasmi.
 

Kwa nini Chadema haikutangaza nafasi ya Makamu Mwenyekiti kuwa wazi pale Lissu alipochukua form ya kugombea Urais? Wakati fulani silence is the best answer . Siyo kila jambo ulizungumzie na kulikosoa.
 
Kwa nini Chadema haikutangaza nafasi ya Makamu Mwenyekiti kuwa wazi pale Lissu alipochukua form ya kugombea Urais? Wakati fulani silence is the best answer . Siyo kila jambo ulizungumzie na kulikosoa.
Kinyesi umetoa!
 
Msema kweli mpenzi wa Mungu, ndugai na msaidizi wake, wapumzike kwanza, tuanze upya!
Unautaka upya kwenye uspika wa bunge letu la CCM?
Hahahaahaaa

Mwenyekiti wa chama na amiri jeshi mkuu, oyeee?
 
Kwa nini Chadema haikutangaza nafasi ya Makamu Mwenyekiti kuwa wazi pale Lissu alipochukua form ya kugombea Urais? Wakati fulani silence is the best answer . Siyo kila jambo ulizungumzie na kulikosoa.
una uwezo mdogo sana !
 
Na chance za kupitishwa ni kubwa ...jinsia. Anaomba kubwa wkt hajaachia ndogo. Mbn mambo yanafanyika kimzaha mzaha!? Tz ndo tumefikishwa hapo!? Watangaze kuwa zote ziko wazi tujue moja... watu waombe zote..
Navohisi hii ananafasi kubwa ya kushinda . Ukiona amejitoa kwa ujasiri mkubwa ujue tayari ameshaandaliwa kwa kupewa kiti cha uspika kwa kigezo cha uzoefu. Itunze hii tutakuja kuitumia baadae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…