The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Ndio maana watu hawataki uwaziri wala uwaziri mkuu wanautaka Urais,kwa hiyo ni kawaidaKatika majina yanayotajwa mpaka muda huu kwamba yamechukua fomu ya kuomba Uspika, limo jina la Naibu Spika Tulia Ackson, kwa maana hiyo ni kwamba huyu mama hautaki unaibu Spika, na ndio maana anauomba Uspika kamili, na bila shaka ameondoka kwenye ofisi ya Naibu Spika kwa lengo la kuepusha Conflict of Interest.
Natoa wito kwa Wahusika kutangaza pia Nafasi ya Naibu Spika Kuwa wazi.
Naomba kuwasilisha.
Nadhani kwa utaratibu ni hadi ateuliwe kugombea nafasi hiyo na chama chake ndipo nafasi ya naibu spika itakuwa wazi. Kwa sasa ametangaza nia tu hivyo haiathiri nafasi yake ya unaibu spika.Katika majina yanayotajwa mpaka muda huu kwamba yamechukua fomu ya kuomba Uspika, limo jina la Naibu Spika Tulia Ackson, kwa maana hiyo ni kwamba huyu mama hautaki unaibu Spika, na ndio maana anauomba Uspika kamili, na bila shaka ameondoka kwenye ofisi ya Naibu Spika kwa lengo la kuepusha Conflict of Interest.
Natoa wito kwa Wahusika kutangaza pia Nafasi ya Naibu Spika Kuwa wazi.
Naomba kuwasilisha.
umeokota wapi hilo ?Nadhani kwa utaratibu ni hadi ateuliwe kugombea nafasi hiyo na chama chake ndipo nafasi ya naibu spika itakuwa wazi. Kwa sasa ametangaza nia tu hivyo haiathiri nafasi yake ya unaibu spika.
Ndani ya kanuni za utumishi wa umma kwa wale wanaotaka kugombea nafasi za uongozi ngazi ya ubunge na udiwani.umeokota wapi hilo ?
Asante Kwa Taarifa Mkuu.Imeshatangazwa!
Mkuu Ebu provide Article Kwenye katiba inayosema hivyoKikatiba alitakiwa nae atangaze kujiuzulu ili nafasi zote ziwe wazi alafu ndio zitangazwe rasmi
Anataka vyote halafu wanataka vijana wajiajiriHangetakiwa ajiuzulu wadhifa wake kwanza....
Tulia anataka kugombea ubunge au udiwani ?Ndani ya kanuni za utumishi wa umma kwa wale wanaotaka kugombea nafasi za uongozi ngazi ya ubunge na udiwani.
Ni katika mlolongo ule ule wa mtumishi wa umma kutaka kugombea nafasi ya uongozi. Kwamba kuchukua fomu peke yake haku-guarantee au kuthibitisha kuwa wewe ni mgombea kwa kuwa unaweza kushindwa kurudisha na hata kama utarudisha ukashindwa kuteuliwa kugombea.Tulia anataka kugombea ubunge au udiwani ?
Katika majina yanayotajwa mpaka muda huu kwamba yamechukua fomu ya kuomba Uspika, limo jina la Naibu Spika Tulia Ackson, kwa maana hiyo ni kwamba huyu mama hautaki unaibu Spika, na ndio maana anauomba Uspika kamili, na bila shaka ameondoka kwenye ofisi ya Naibu Spika kwa lengo la kuepusha Conflict of Interest.
Natoa wito kwa Wahusika kutangaza pia Nafasi ya Naibu
Katika majina yanayotajwa mpaka muda huu kwamba yamechukua fomu ya kuomba Uspika, limo jina la Naibu Spika Tulia Ackson, kwa maana hiyo ni kwamba huyu mama hautaki unaibu Spika, na ndio maana anauomba Uspika kamili, na bila shaka ameondoka kwenye ofisi ya Naibu Spika kwa lengo la kuepusha Conflict of Interest.
Natoa wito kwa Wahusika kutangaza pia Nafasi ya Naibu Spika Kuwa wazi.
Naomba kuwasilisha.
Kwa nini Chadema haikutangaza nafasi ya Makamu Mwenyekiti kuwa wazi pale Lissu alipochukua form ya kugombea Urais? Wakati fulani silence is the best answer . Siyo kila jambo ulizungumzie na kulikosoa.Katika majina yanayotajwa mpaka muda huu kwamba yamechukua fomu ya kuomba Uspika, limo jina la Naibu Spika Tulia Ackson, kwa maana hiyo ni kwamba huyu mama hautaki unaibu Spika, na ndio maana anauomba Uspika kamili, na bila shaka ameondoka kwenye ofisi ya Naibu Spika kwa lengo la kuepusha Conflict of Interest.
Natoa wito kwa Wahusika kutangaza pia Nafasi ya Naibu Spika Kuwa wazi.
Naomba kuwasilisha.
Kinyesi umetoa!Kwa nini Chadema haikutangaza nafasi ya Makamu Mwenyekiti kuwa wazi pale Lissu alipochukua form ya kugombea Urais? Wakati fulani silence is the best answer . Siyo kila jambo ulizungumzie na kulikosoa.
Unautaka upya kwenye uspika wa bunge letu la CCM?Msema kweli mpenzi wa Mungu, ndugai na msaidizi wake, wapumzike kwanza, tuanze upya!
una uwezo mdogo sana !Kwa nini Chadema haikutangaza nafasi ya Makamu Mwenyekiti kuwa wazi pale Lissu alipochukua form ya kugombea Urais? Wakati fulani silence is the best answer . Siyo kila jambo ulizungumzie na kulikosoa.
You are playing a razzle dazzle.una uwezo mdogo sana !
Navohisi hii ananafasi kubwa ya kushinda . Ukiona amejitoa kwa ujasiri mkubwa ujue tayari ameshaandaliwa kwa kupewa kiti cha uspika kwa kigezo cha uzoefu. Itunze hii tutakuja kuitumia baadae