johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mambo mawili makubwa yamejitokeza hivi karibuni kwanza CCM imeshinda uchaguzi wa serikali za mitaa kwa kishindo, pili Tume ya taifa ya uchaguzi imevuka lengo kwa kuandikisha wapiga kura wengi kuliko ilivyotarajiwa.
Hii maana yake ni kuwa uchaguzi mkuu wa 2020 utakuwa na wapiga kura zaidi ya milioni 29 hii ni historia.
Kwa kuliona hilo CCM inatarajia kutoa semina elekezi kwa viongozi wake wa serikali za mitaa ikiwa ni matayarisho ya kushiriki kikamilifu katika uchaguzi mkuu.
Ikumbukwe kuwa wananchi wengi wamejiandikisha kupiga kura baada ya kuridhishwa na maendeleo yanayoletwa na serikali ya awamu ya 5 na kwa mara ya kwanza tangu tupate Uhuru watanzania wameanza kuona thamani ya kura zao.
Hongereni CCM.
Maendeleo hayana vyama!
Hii maana yake ni kuwa uchaguzi mkuu wa 2020 utakuwa na wapiga kura zaidi ya milioni 29 hii ni historia.
Kwa kuliona hilo CCM inatarajia kutoa semina elekezi kwa viongozi wake wa serikali za mitaa ikiwa ni matayarisho ya kushiriki kikamilifu katika uchaguzi mkuu.
Ikumbukwe kuwa wananchi wengi wamejiandikisha kupiga kura baada ya kuridhishwa na maendeleo yanayoletwa na serikali ya awamu ya 5 na kwa mara ya kwanza tangu tupate Uhuru watanzania wameanza kuona thamani ya kura zao.
Hongereni CCM.
Maendeleo hayana vyama!