Baada ya Tume ya uchaguzi kuvuka lengo la uandikishaji wapiga kura CCM kutoa semina elekezi kwa viongozi wake wa serikali za mitaa

Mkuu,
Hongereni sana kwa ushindi wa kishindo! Kwa kweli ulikuwa wakishindo kikubwa. Maana hadithi zake zimesikika ulimwengu mzima. Dunia yote sasa inajuwa kwamba Chama chenu kinajuwa hasa kupindua.
Hichi chama kimekuwa maarufu sana kwa kupindua pindua kila kitu. Kwa mfano hupindua maneno, watu, kura, matokeo ya uchaguzi, na kadhalika.
Kwa hakika kwa wasifu wake huu ni lazima kishinde kwa mshindo mkubwa mno. Na kwa kweli kitaendelea kuleta mshindo mpaka pale watu watakapoamua kukataa kupinduliwa! Vyenginevyo mtaendelea kusherehekea ushindi wenu wa kupindua pindua. Ila muwe waangalifu musije mukapinduana wenyewe kwa wenyewe!
 
Tulitoboa na kuwabwag 2015 na hii ya TAMISEMI kama tangu muanze unashindwa bora mjiunge na CCM tu maana 2020 utakuwa aibu

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tulitoboa na kuwabwag 2015 na hii ya TAMISEMI kama tangu muanze unashindwa bora mjiunge na CCM tu maana 2020 utakuwa aibu

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app

Hamna uwezo wa siasa za ushindani, sana sana mnategemea mbeleko za vyombo vya dola. Huna cha kujisifia kama mwanaume iwapo vyombo vya dola ndio nguvu yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…