johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
-
- #21
Wewe ndio unajidanganya.Usijidanganye, Wengi wao walienda kujiandikisha Ili wapate vitambulisho tu na si kwa ajili ya kupiga kura
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu,Mambo mawili makubwa yamejitokeza hivi karibuni kwanza CCM imeshinda uchaguzi wa serikali za mitaa kwa kishindo, pili Tume ya taifa ya uchaguzi imevuka lengo kwa kuandikisha wapiga kura wengi kuliko ilivyotarajiwa.
Hii maana yake ni kuwa uchaguzi mkuu wa 2020 utakuwa na wapiga kura zaidi ya milioni 29 hii ni historia.
Kwa kuliona hilo CCM inatarajia kutoa semina elekezi kwa viongozi wake wa serikali za mitaa ikiwa ni matayarisho ya kushiriki kikamilifu katika uchaguzi mkuu.
Ikumbukwe kuwa wananchi wengi wamejiandikisha kupiga kura baada ya kuridhishwa na maendeleo yanayoletwa na serikali ya awamu ya 5 na kwa mara ya kwanza tangu tupate Uhuru watanzania wameanza kuona thamani ya kura zao.
Hongereni CCM.
Maendeleo hayana vyama!
Tulitoboa na kuwabwag 2015 na hii ya TAMISEMI kama tangu muanze unashindwa bora mjiunge na CCM tu maana 2020 utakuwa aibuNimeamini kama hukubaliki hata ujipake manukato hutoboi. Juzi mtendaji wa mtaa wetu kaitisha kikao kujitambulisha na kujadili maendeleo, hayo mahudhurio ni aibu.
Yeye na wapambe wake wakaishia kusema kwa sauti kubwa kuwa wao ndio waliochaguliwa, na kama kuna wengine tulikuwa tunawataka walijitoa hivyo tufanye kazi na yeye kwakuwa yuko tayari.
Alipoona inafika jioni idadi bado ni ndogo sana, akawa anasema mtu aliyetokea kwenye kikao hata akipata matatizo asiende hapo ofisini. Hapo nikawa najiuliza hiyo wanayosema wanakubalika ndio ipo hiyo?
Tulitoboa na kuwabwag 2015 na hii ya TAMISEMI kama tangu muanze unashindwa bora mjiunge na CCM tu maana 2020 utakuwa aibu
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaha!!!! Hawezi kujibu!akikujibu nicheki
Una mawazo ya kilevi.Hao viongozi wanapatikana CCM tu!