fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,617
- 8,244
Hapana vipaji vipo,hiyo timu vijana iliyofungwa ilikuwa na wachezaji 4 wanachwza mpira wa kulipwa nchi za ulaya,sasa wangekuwa hawana vipaji wangeendaje huko?Tanzania hatuna vipaji vya mpira wa miguu, tunaupenda tu, lkn hakuna vipaji kabisa, mtalaumu makocha bure