Incredible
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,031
- 1,603
Tatizo la watanzania ni kuamini kwamba katiba mpya unapewa na mtesi wako. CCM hayuko tayari kukupa katiba mpya. Unapigania katiba mpya.
Uhuru tulipewa maana nchi ikikuwa under the mandate of Great Britain. Sasa tunadhani hata katiba tutapewa bure.
Uhuru tulipewa maana nchi ikikuwa under the mandate of Great Britain. Sasa tunadhani hata katiba tutapewa bure.