Incredible
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,031
- 1,603
Hivi kweli kabisa mtu unasema katiba mpya ni porojo!!! Ama kweli Tanzania tuna safari ndefu sana kama watu wenyewe ndio kama hawa.Hakuna kipya ...kwani hatujui hilo? Tunawataka waje na mikakati si porojo za umuhimu wa katiba mpya ambazo tunazijua .....
Hivi kwani huyu mzee wa watu Lowasa kawafanya nini? Inaongelewa issue ya katiba halafu unamuingiza Lowasa. Kazi kweli kweli.Katiba mpya haitakua na maana Tanzania endapo wagombea urais wa Tanzania ni walewale akina Lowasa na wapiga deal wenzie..!
Hakuna kipya ...kwani hatujui hilo? Tunawataka waje na mikakati si porojo za umuhimu wa katiba mpya ambazo tunazijua .....
Nyinyi viongozi wa vyama ndio wa kusindikiza hayo mambo mkiwa ndani ya bunge na nje ya bunge muhamasishe wananchi kufanya migomo na maandamano ili watawala wajuwe kwamba wananchi wamechoka kutawaliwa wanataka kuongozwa kisheria na kufuata katiba co kila ck tundu lissu .