Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 20,654
- 35,887
Heshima kwenu wanajamvi,
Baada ya uchaguzi mkuu wa Mwenyekiti Mheshimiwa Lissu atakuwa mwanachama wa kawaida kabisa.
Kwa mujibu wa katiba ya CHADEMA Lissu atatakuwa kuhudhuria vikao vya Tawi na si vinginevyo.
Mapovu ruksa lakini ukweli utabakia ukweli Lissu hana nafasi ya kushinda.
Kampeni za Lissu zimejikita mitandaoni.
Ngongo kwasasa Lemara.
Baada ya uchaguzi mkuu wa Mwenyekiti Mheshimiwa Lissu atakuwa mwanachama wa kawaida kabisa.
Kwa mujibu wa katiba ya CHADEMA Lissu atatakuwa kuhudhuria vikao vya Tawi na si vinginevyo.
Mapovu ruksa lakini ukweli utabakia ukweli Lissu hana nafasi ya kushinda.
Kampeni za Lissu zimejikita mitandaoni.
Ngongo kwasasa Lemara.