Pre GE2025 Baada ya Uchaguzi wa CHADEMA 21/01/2025 Lissu atakuwa mwanachama wa kawaida

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Ngongo

Platinum Member
Joined
Sep 20, 2008
Posts
20,654
Reaction score
35,887
Heshima kwenu wanajamvi,

Baada ya uchaguzi mkuu wa Mwenyekiti Mheshimiwa Lissu atakuwa mwanachama wa kawaida kabisa.

Kwa mujibu wa katiba ya CHADEMA Lissu atatakuwa kuhudhuria vikao vya Tawi na si vinginevyo.

Mapovu ruksa lakini ukweli utabakia ukweli Lissu hana nafasi ya kushinda.

Kampeni za Lissu zimejikita mitandaoni.

Ngongo kwasasa Lemara.
 
Mbowe anatumia nguvu ya fedha kumgaragaza Lisu ktk uchaguzi.
 
Lissu atashinda kwa zaidi ya 80% ya kura zote.
Utateseka sama wewe chawa wa mfalme.
 
Sasa hilo linakuuma nini wewe wakati Lissu mwenyewe anajua linaweza kutokea (ikiwa atashindwa) na yuko tayari kulipokea?
 
Unateseka sana dogo,kwa nini msingojee hadi wajumbe wafanye kazi yao,haya matumaini hewa mnayojipa ndiyo yatawapa mateso
 
Au siyo,mangi!!..mtabaki na saccos yenu mnywe mbege na kisusio
 
You can not say for certain that will happen!
 
Naunga mkono hoja!.
P
 
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…