Baada ya ukweli kuhusu sakata la Bernard Morrison 'Kuvuja', huenda Yanga SC 'ikanyang'anywa' alama zake na viongozi wake kufungwa na kukamatwa

Na 'nazivuta' kweli kweli ndiyo maana unaona hata uwezo wangu wa 'Kufikiri' na 'Akili' unazidi wa 'Koo' zako zote mbili za kwa Mama na Baba yako.
Kumbe Nyani haoni kundure.
Acga matendo ya seme zaidi ya kujitapa kwa mambo ya kifara.
 
Una maanisha nini mpwa?

Morisson kawagaraza UTOPOLO nasikia[emoji3]

Unauliza Uume Ukeni Mkuu? Kazi imeshamalizika huko na muda wowote 'Kamati' inaenda kutuwekea Mambo 'Hadharani' ili Yanga SC 'Moto' uwake.
 
Kumbe Nyani haoni kundure.
Acga matendo ya seme zaidi ya kujitapa kwa mambo ya kifara.

Hivi ni Nyani haoni Kundure au ni Nyani haoni Kundule? Sasa kama Kuandika tu vyema Kiswahili huwezi hii 'IQ' yangu 'iliyobarikiwa' utaiweza kweli?
 
Tayari tushawanyoa mikia uko, bladibasketi
 
Unatatizo katika kuchambua mambo, mkataba ni baina ya pande mbili Morrison na Yanga, TFF ilikuwa inauwezo wa kutoa adhabu hapahapa kama kuna tatizo katika mkataba, na hata Morrison iweje afanye kazi wakati hajui uhalisia wa mkataba wake..
 
Unatatizo katika kuchambua mambo, mkataba ni baina ya pande mbili Morrison na Yanga, TFF ilikuwa inauwezo wa kutoa adhabu hapahapa kama kuna tatizo katika mkataba, na hata Morrison iweje afanye kazi wakati hajui uhalisia wa mkataba wake..

Hebu acha 'Kunipotezea' muda wangu hapa Wewe 'Mpuuzi' Mmoja sawa? Kwanza unaipata wapi hii Nguvu ya kutaka 'Kubishana' na Mimi Wewe?
 
Simba tumepigwa cha Mbavuuu, yaaani hata bia naona chungu *****

Endelea 'Kuwadanganya' na 'Kuwahadaa' wale 'Mapopoma Waandamizi' na 'Waliotukuka' pia waliopo hapa, ila muda si mrefu Ukweli tunaanikiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…