rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Huyo kitenge anawakilisha kundi kubwa la watangazaji makanjanja wanashindwa kubalance story wanatengeneza umbea halafu wanawajaza pumba mashabikiNimechaka jana, ndo nikajua kua ushabiki unaondoa akili kabsa, Juzi Yeye baada ya Senzo kujiuzulu aliandika sababu zilizosababisha ajiuzuru Simba. Na sababu zote anasema Simba wanaendesha klabu bila ueledi. Afu anakuja kumuhoji Manara anamuuliza Kwa nini Senzo ameondoka? Manara akamjibu we si unazijua sababu na uliandika jana kwenye page yako. Je wewe zile sababu alikuambia Senzo akajibu hapana ni watu tu wanaongea.
Ushabiki umeondoka na weledi wa Kitenge
Tatizo la huyo jamaa ni ushabiki uliopitiliza mpaka anasahau miiko ya kazi yake.Huyo kitenge anawakilisha kundi kubwa la watangazaji makanjanja wanashindwa kubalance story wanatengeneza umbea halafu wanawajaza pumba mashabiki
Kwann muda wote mtu akikikupinga unakuwa na matusi.. MODS PIGA BAN HUYU KICHAA.
Huyo kitenge anawakilisha kundi kubwa la watangazaji makanjanja wanashindwa kubalance story wanatengeneza umbea halafu wanawajaza pumba mashabiki
Jambo hili ni kubwa kuliko tunavyofikiri. Ni doa kubwa sana kwenye ramani ya soka la ulimwengu na Jamii
Tupo kwenye harakati za kuingoa ccm madarakani kwanza,huku tutakuja baadaeTaarifa nilizozipata kutoka katika Chanzo changu 'Nyeti' zinasema kwamba kilichogundulika juu ya Sakata zima la Mchezaji Bernard Morrison ni kwamba Klabu ya Yanga 'imedanganya' kuhusu 'Mkataba' wake na kwamba hata 'Sahihi' yake pia 'imefojiwa' kinyume na Sheria. Ukweli kamili wa hili upo njiani kutolewa kwa Watanzania ili 'Wahuni' na 'Matapeli' wa Soka la Tanzania wajulikane na waumbuke rasmi.
Chanzo changu hicho Kimeendelea kusema kwamba sehemu ambayo Yanga SC 'imejikoroga' ni katika Tarehe ya Mkataba wa Mchezaji Bernard Morrison ambapo Yanga SC 'wamedanganya' Umma kuwa 'alisajiliwa' tarehe 15 na Kuuwasilisha TFF wakati Mchezaji aliwasili nchini tarehe 17 na hata Mawasiliano yake ya Email yana Ukweli wote pamoja na Tiketi yake ya Ndege.
Hivyo basi 'Adhabu' ambayo huenda Yanga SC 'ikakumbana' nayo katika 'Hukumu' inayoenda 'Kutolewa' leo ni ama 'Kunyang'anywa' Alama ( Points ), Kupigwa Faini Kubwa, Kuzuiwa Kufanya Usajili, Kushushwa Daraja, Viongozi wake Kukamatwa, Kushtakiwa na Kufungiwa kabisa. Na kama TFF wakisema walipeleke hili 'Suala' huko FIFA kuna uwezekano Klabu ya Yanga 'ikafutwa' katika ramani.
Chanzo hicho kimemalizia kwa kunielezea kuwa kumbe baada ya Uongozi wa Yanga SC hasa kupitia 'Wadhamini' wao GSM kuona kwamba wanaenda 'Kuumbuka' walienda Kutoa 'Rushwa' ya Tsh Milioni 20 TFF ili hili 'Suala' lisiende mbali lakini Uongozi Imara na wenye 'Uweledi' wa TFF ukakataa huo 'Upuuzi' na kuwaambia Yanga SC hili 'Suala' lazima lifike mwisho ili liwe Fundisho nchini.
Baada ya Yanga SC na GSM kujua kuwa 'wameshalikoroga' na Mashabiki wao hawatawaelewa wameamua 'Kuwahadaa' kwa Kufanya 'Usajili' wa aliyekuwa CEO wa Simba SC Senzo Mbatha Mazingisa huku 'wakiwadanganya' kuwa 'wanamsajili' Mchezaji Clatous Chama na akina Deo Kanda. Hii yote Yanga SC wanafanya kama kutafuta 'Huruma' kwa Mashabiki na Wanachama Wao.
Namalizia kwa kusema 'sijakulazimisha' ukubaliane na nilichokiwasilisha hapa ila Yanga SC jana walifurahi lakini leo watalia sana na Moto utawaka.
Kuna kipindi walitangaza kumsajiliNa kwa Kukusaidia tu ni kwamba yupo pia katika 'Payroll' ya Yanga SC na ni Mtangazaji Mwandamizi wa Kuipendelea Yanga na Kuididimiza Simba.
Mi nashauri awe anaosha nyeti zake, maana zina harufu sio nzuri.Kweli zimetoka kwenye chanzo nyeti zako.
Kumbe MUME ndio mhimili eeh, huku kwa wananchi tunachanga...Mo nyie bakieni naye.Yanga wakuabali tu na kuomba radhi kwa Morrisoni yaishe! Jamaa alishachomoa betry siku nyingi wao wamemng'ang'ania, sasa wataumbuka zaidi! Suala la kumuajiri Senzo halina mashiko, na wala haliwezi kuitikisa Simba labda Mo Dewji angehamia huko ningesema sawa! Lakini huyo wa kuajiriwa na kulipwa mshahara hana tofauti na kocha au mchezaji wa klabu!
Mchezo huu hautaji hasira, hebu tulieni dawa iwaingie! Mtatukana saana , mtashindana sana lakini hamtashinda! Mtapata taabu sana!Kumbe MUME ndio mhimili eeh, huku kwa wananchi tunachanga...Mo nyie bakieni naye.
Ila kama vichwa vinafanya kazi vizuri (na sio kuvunja viti mode), basi mkumbuke kuwa huyu huyu Morisson ndio alituambia rais wa klabu yenu ya Mbumbmbu FC amemtumia $10k, lkn kwake zimefika 5
Watangazaji wengi wako kwenye payroll ya GSM.Na kwa Kukusaidia tu ni kwamba yupo pia katika 'Payroll' ya Yanga SC na ni Mtangazaji Mwandamizi wa Kuipendelea Yanga na Kuididimiza Simba.
BangiWatangazaji wengi wako kwenye payroll ya GSM.