Baada ya UN kushindwa kuchukua hatua dhidi ya Urusi hivi ndivyo mambo yalivyo huko Kyv, Ukraine

Baada ya UN kushindwa kuchukua hatua dhidi ya Urusi hivi ndivyo mambo yalivyo huko Kyv, Ukraine

Jackal

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2012
Posts
9,971
Reaction score
13,608
USELESS: Kyiv residents left a message for the UN by tagging the organisation's vehicles that have been parked in the centre of Kyiv.
FB_IMG_1686221151623.jpg
 
Waazime jesh la Tanzania kwenda kuizuia us au urus isitumie nuke???
Sasa kama haina uwezo kazi yake nini?
Kuundwa kwa UN kipindi hicho ikiitwa UNO ilikuwa ni kuzuia isitokee vita baada ya WW2.
Kama imeshindwa kumuwajibisha Russia angalau wangemsimamisha au kumfuta uanachama ili kuonyesha kuwa pamoja na Ukraine.
Badala yake Russia ndio kapewa uraisi kwa kipindi hichi ambacho kunasitofahamu nyingi!
 
Sasa kama haina uwezo kazi yake nini?
Kuundwa kwa UN kipindi hicho ikiitwa UNO ilikuwa ni kuzuia isitokee vita baada ya WW2.
Kama imeshindwa kumuwajibisha Russia angalau wangemsimamisha au kumfuta uanachama ili kuonyesha kuwa pamoja na Ukraine.
Badala yake Russia ndio kapewa uraisi kwa kipindi hichi ambacho kunasitofahamu nyingi!
Ndio ushangae sasa kwa nin hawawez kuzizuia big5 kufanya wanavyojisikia kuanzia uvamiz wa Iraq mpaka leo tupo Ukraine
 
Ndio ushangae sasa kwa nin hawawez kuzizuia big5 kufanya wanavyojisikia kuanzia uvamiz wa Iraq mpaka leo tupo Ukraine
Iraq ilikuwa threat kwa mwanachama mwingine WA UN baada ya kuivamia Kuwaiti.Angalau marekani aliomba kibali na kujenga hoja, Putin kavamia TU kihuni bila kujadili .
Kama angeona kwamba Ukraine ni threat Kwake angepeleka madai kwenye baraza la usalama.
Alichofanya Putin ni uvamizi ndio alijifanya anaanza mazoezi ya kijeshi mpakani Mwa Ukraine, baadae akaingiza vifaru akiita special ops na Sasa imekuwa ni vita kamili!
 
Iraq ilikuwa threat kwa mwanachama mwingine WA UN baada ya kuivamia Kuwaiti.Angalau marekani aliomba kibali na kujenga hoja, Putin kavamia TU kihuni bila kujadili .
Kama angeona kwamba Ukraine ni threat Kwake angepeleka madai kwenye baraza la usalama.
Alichofanya Putin ni uvamizi ndio alijifanya anaanza mazoezi ya kijeshi mpakani Mwa Ukraine, baadae akaingiza vifaru akiita special ops na Sasa imekuwa ni vita kamili!
Inaonyesha hujapata taarifa sahih kuhusu uvamiz wa us na washirika wake nchini Iraq
 
UN inashikiliwa na Mataifa yenye nguvu duniani! Harafu kila mmoja ana kura ya Veto kwenye Baraza la Usalama!
 
Inaonyesha hujapata taarifa sahih kuhusu uvamiz wa us na washirika wake nchini Iraq
Kwamb unabisha Iraq hakuivamia kuwait au unabisha iraq hakuivamia iran au unabisha USA hakuomba kibali UN ? Je Urusi alitumia kigezo gan kuivamia Ukraine ? Ukumbuke ww sio mrusi so mahaba yatakutia uchiz simamia ukwel
 
Kwamb unabisha Iraq hakuivamia kuwait au unabisha iraq hakuivamia iran au unabisha USA hakuomba kibali UN ? Je Urusi alitumia kigezo gan kuivamia Ukraine ? Ukumbuke ww sio mrusi so mahaba yatakutia uchiz simamia ukwel
Je,US alipata hicho kibali cha UN?Maana sababu iliyotolewa na US hukl UN,ilikuwa Iraq kuna weapons of mass destruction(WMD)!UN wakapeleka wachunguzi na wakarudi na report kuwa hakukuwa na hata harufu ya silaha hizo!US akavamia hivyo hivyo kwa mabavu na silaha hizo hakuzikuta!
Kiufupi hizi taasisi za kimataifa zimepoteza credibility sana mpaka inaonekana ziko kushughulika na wanyonge tu hasa Africa!
Rejea ICC walipofungua uchunguzi wa war crimes dhidi ya US troops,US akarespond kwa kuwapiga ban Prosecutor na jaji wa ICC,wakapiga ban hadi familia zao lakini wakawaweka kwenye listi ya wahalifu watumishi hao wa ICC lakini pia wakawaambia watazifreeze account zao!
 
Back
Top Bottom