dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
UN ni Marekani
hakuna jipya
hakuna jipya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulitaka Iraq aachwe aendelee uonevu wake kama alioufanyav kwa Iran na Kuwait ? hiyo si ndo hoja yako , kisa hakukuwa na silaha basi ilibid Sadam aachwe ? Hv unajuwa hadi nchi zenye jamii ya kiarab zilipiga kura kuunga mkono uvamiz , unalijua hilo ? NDIO tunaichukia ila ukwel usemwe , Putin kakosea sana kuvamia Ukraine bila hata kuandaa mazingira , kwa vile ww ni mwafrik hata akil yako ipo hivyo hivyo na ndio maaa tulitawaliwa na tutatawaliwa tena sabab sisi ni kama nyumbu , kuitetea Ukraine sio kuunga Mkono matendo aliyowai fanya USA , na Makosa ya USA sio kibali cha China kuivaia Taiwan wala Urusi kuivamia Ukraine wala India Kuivamia Kashmir wala Iran kuivamia Afghanstan , kama unatetea huo ugaidi wa Putin kisa Marekan alivamia sehem fulan basu jiite msukule tu maana kichwan hazifany kaz vzrJe,US alipata hicho kibali cha UN?Maana sababu iliyotolewa na US hukl UN,ilikuwa Iraq kuna weapons of mass destruction(WMD)!UN wakapeleka wachunguzi na wakarudi na report kuwa hakukuwa na hata harufu ya silaha hizo!US akavamia hivyo hivyo kwa mabavu na silaha hizo hakuzikuta!
Kiufupi hizi taasisi za kimataifa zimepoteza credibility sana mpaka inaonekana ziko kushughulika na wanyonge tu hasa Africa!
Rejea ICC walipofungua uchunguzi wa war crimes dhidi ya US troops,US akarespond kwa kuwapiga ban Prosecutor na jaji wa ICC,wakapiga ban hadi familia zao lakini wakawaweka kwenye listi ya wahalifu watumishi hao wa ICC lakini pia wakawaambia watazifreeze account zao!
Kijana unapayuka tu,huyu ni boss wa UN kipindi hicho akiwa madarakani!Wewe mnato wa buza unakuja na porojo zako!Ulitaka Iraq aachwe aendelee uonevu wake kama alioufanyav kwa Iran na Kuwait ? hiyo si ndo hoja yako , kisa hakukuwa na silaha basi ilibid Sadam aachwe ? Hv unajuwa hadi nchi zenye jamii ya kiarab zilipiga kura kuunga mkono uvamiz , unalijua hilo ? NDIO tunaichukia ila ukwel usemwe , Putin kakosea sana kuvamia Ukraine bila hata kuandaa mazingira , kwa vile ww ni mwafrik hata akil yako ipo hivyo hivyo na ndio maaa tulitawaliwa na tutatawaliwa tena sabab sisi ni kama nyumbu , kuitetea Ukraine sio kuunga Mkono matendo aliyowai fanya USA , na Makosa ya USA sio kibali cha China kuivaia Taiwan wala Urusi kuivamia Ukraine wala India Kuivamia Kashmir wala Iran kuivamia Afghanstan , kama unatetea huo ugaidi wa Putin kisa Marekan alivamia sehem fulan basu jiite msukule tu maana kichwan hazifany kaz vzr
.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]UN ni Marekani
hakuna jipya
Hivi wewe unaujua mkataba wa Minsk au unabwabwaja ukidhani humu ndani wote ni mabumunda?Iraq ilikuwa threat kwa mwanachama mwingine WA UN baada ya kuivamia Kuwaiti.Angalau marekani aliomba kibali na kujenga hoja, Putin kavamia TU kihuni bila kujadili .
Kama angeona kwamba Ukraine ni threat Kwake angepeleka madai kwenye baraza la usalama.
Alichofanya Putin ni uvamizi ndio alijifanya anaanza mazoezi ya kijeshi mpakani Mwa Ukraine, baadae akaingiza vifaru akiita special ops na Sasa imekuwa ni vita kamili!
Unaleta taarifa zaako za kishabiki uku unaona wote wajinga Tony Blair alisema mwenyewe ulikuwa uamuzi wa kijinga kabissa kuivamia Iraq ww mmatumbi unakuja leta vihoja vyakko vya kijingaIraq ilikuwa threat kwa mwanachama mwingine WA UN baada ya kuivamia Kuwaiti.Angalau marekani aliomba kibali na kujenga hoja, Putin kavamia TU kihuni bila kujadili .
Kama angeona kwamba Ukraine ni threat Kwake angepeleka madai kwenye baraza la usalama.
Alichofanya Putin ni uvamizi ndio alijifanya anaanza mazoezi ya kijeshi mpakani Mwa Ukraine, baadae akaingiza vifaru akiita special ops na Sasa imekuwa ni vita kamili!
Hii OP umeanza kuifuatilia kuanzia lini mkuu...kama ni kuanzia Feb 25 2022 rudi nyuma kama miezi mitatu hivi...ndio utajua chanzo na utajua mbaya hapo ni nani..kama angekua ni Urusi hakika UN angeshafanya unachotamani kifanyike, na huo urais unaousema asingepewa...ukiona kapewa ujue yeye ndio anaonewa au US anajaribisha silaha zake apate soko..Iraq ilikuwa threat kwa mwanachama mwingine WA UN baada ya kuivamia Kuwaiti.Angalau marekani aliomba kibali na kujenga hoja, Putin kavamia TU kihuni bila kujadili .
Kama angeona kwamba Ukraine ni threat Kwake angepeleka madai kwenye baraza la usalama.
Alichofanya Putin ni uvamizi ndio alijifanya anaanza mazoezi ya kijeshi mpakani Mwa Ukraine, baadae akaingiza vifaru akiita special ops na Sasa imekuwa ni vita kamili!
Niruhusu mimi nimuiteUlitaka Iraq aachwe aendelee uonevu wake kama alioufanyav kwa Iran na Kuwait ? hiyo si ndo hoja yako , kisa hakukuwa na silaha basi ilibid Sadam aachwe ? Hv unajuwa hadi nchi zenye jamii ya kiarab zilipiga kura kuunga mkono uvamiz , unalijua hilo ? NDIO tunaichukia ila ukwel usemwe , Putin kakosea sana kuvamia Ukraine bila hata kuandaa mazingira , kwa vile ww ni mwafrik hata akil yako ipo hivyo hivyo na ndio maaa tulitawaliwa na tutatawaliwa tena sabab sisi ni kama nyumbu , kuitetea Ukraine sio kuunga Mkono matendo aliyowai fanya USA , na Makosa ya USA sio kibali cha China kuivaia Taiwan wala Urusi kuivamia Ukraine wala India Kuivamia Kashmir wala Iran kuivamia Afghanstan , kama unatetea huo ugaidi wa Putin kisa Marekan alivamia sehem fulan basu jiite msukule tu maana kichwan hazifany kaz vzr
UN ilishaaribiwa kitambo na world leader USA kwa double standard za kisengeSasa kama haina uwezo kazi yake nini?
Kuundwa kwa UN kipindi hicho ikiitwa UNO ilikuwa ni kuzuia isitokee vita baada ya WW2.
Kama imeshindwa kumuwajibisha Russia angalau wangemsimamisha au kumfuta uanachama ili kuonyesha kuwa pamoja na Ukraine.
Badala yake Russia ndio kapewa uraisi kwa kipindi hichi ambacho kunasitofahamu nyingi!
Nawe ujui kitu, ukitaka kuijua hiyo OP ludi nyuma 2008 kwa ule mkutano wa NATO uliofanyika BucharestHii OP umeanza kuifuatilia kuanzia lini mkuu...kama ni kuanzia Feb 25 2022 rudi nyuma kama miezi mitatu hivi...ndio utajua chanzo na utajua mbaya hapo ni nani..kama angekua ni Urusi hakika UN angeshafanya unachotamani kifanyike, na huo urais unaousema asingepewa...ukiona kapewa ujue yeye ndio anaonewa au US anajaribisha silaha zake apate soko..
Baraza la usalama ni marekani mwenywe, kwa kifupi UN ni marekai. Na kupeleka kesi UN ni usenge ka marekani ana maslahi na hiyo kesiIraq ilikuwa threat kwa mwanachama mwingine WA UN baada ya kuivamia Kuwaiti.Angalau marekani aliomba kibali na kujenga hoja, Putin kavamia TU kihuni bila kujadili .
Kama angeona kwamba Ukraine ni threat Kwake angepeleka madai kwenye baraza la usalama.
Alichofanya Putin ni uvamizi ndio alijifanya anaanza mazoezi ya kijeshi mpakani Mwa Ukraine, baadae akaingiza vifaru akiita special ops na Sasa imekuwa ni vita kamili!
Haishikiliwi na hayo mataifa matano, ila hizo kura za veto zinawasaidia ktk kukomoanaUN inashikiliwa na Mataifa yenye nguvu duniani! Harafu kila mmoja ana kura ya Veto kwenye Baraza la Usalama!
Unachotakiwa kufahamu iraq ilvamiwa mara mbil na Bush baba mwaka 1989 au 90 na ilivamiwa tena na Bush mtoto mwaka 1993.. Na lengo kubwa la uvamizi huo ni kuwa Sadam Hussein alikuwa tishio kubwa kwa usalama wa Israeli. Full stop, hizo nyingine ni hadithi tu za linachaKwamb unabisha Iraq hakuivamia kuwait au unabisha iraq hakuivamia iran au unabisha USA hakuomba kibali UN ? Je Urusi alitumia kigezo gan kuivamia Ukraine ? Ukumbuke ww sio mrusi so mahaba yatakutia uchiz simamia ukwel
UN kwanini inamwachia Israeli aendeleze uwonevu wake kwa palestinaUlitaka Iraq aachwe aendelee uonevu wake kama alioufanyav kwa Iran na Kuwait ? hiyo si ndo hoja yako , kisa hakukuwa na silaha basi ilibid Sadam aachwe ? Hv unajuwa hadi nchi zenye jamii ya kiarab zilipiga kura kuunga mkono uvamiz , unalijua hilo ? NDIO tunaichukia ila ukwel usemwe , Putin kakosea sana kuvamia Ukraine bila hata kuandaa mazingira , kwa vile ww ni mwafrik hata akil yako ipo hivyo hivyo na ndio maaa tulitawaliwa na tutatawaliwa tena sabab sisi ni kama nyumbu , kuitetea Ukraine sio kuunga Mkono matendo aliyowai fanya USA , na Makosa ya USA sio kibali cha China kuivaia Taiwan wala Urusi kuivamia Ukraine wala India Kuivamia Kashmir wala Iran kuivamia Afghanstan , kama unatetea huo ugaidi wa Putin kisa Marekan alivamia sehem fulan basu jiite msukule tu maana kichwan hazifany kaz vzr
Angalau watu wa UN wanaambulia malipo mazuri, sio kama takataka za AU.UN ni kama ilivyo AU Africa
HAMUWAJUI WAZUNGU, NA HILI NDO TATIZO LETU.Sasa kama haina uwezo kazi yake nini?
Kuundwa kwa UN kipindi hicho ikiitwa UNO ilikuwa ni kuzuia isitokee vita baada ya WW2.
Kama imeshindwa kumuwajibisha Russia angalau wangemsimamisha au kumfuta uanachama ili kuonyesha kuwa pamoja na Ukraine.
Badala yake Russia ndio kapewa uraisi kwa kipindi hichi ambacho kunasitofahamu nyingi!