Baada ya ‘unsafe sex’ wanawake wengi hawajutii

Ako na mob ndio kiswahili cha wapi?!
 
Kumbaff, hata mama yako ana tabia hii kweli mwanangu? Stop generalization.
 
Aiseee imebidi niende toi maana nimepata hali ya kitapika.
 
Yeyee..mbegu za kiume znatembea fallopian ..kumbe ndy mana kunawakati mnassmka kama vile mumepigwa shoti ya umeme..dah kumbe men are Sweet ie
 
Kwa hali hiyo ndio maana wao wanapata maambukizi kwa wingi ukilinganisha na wanaume...
 
Mmhh, jamanii too disgusting 🤮🤮 alimkula kabisaa..???woiii
 
Hivi HIV inavotisha hivi kweli usijutie Unsafe Sex kweli?, tena naona nyie wanaume ndiyo mnakua tayari kwa lolote na mnamuamini mtu kwa macho huku mkiongozwa na kichwa cha chini. Wadada tupo makini kiasi kwenye hilo aisee "no ndom,no sex"
 
I second you brother, kuna limke la mtu nalikula halitakagi habari ya ndomu, sema nacholipendeaga linapendaga tupime pime yaani, taamu kavu kavu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…