Pre GE2025 Baada ya ushindi wa Lissu na Heche, naliona bunge lenye mvuto linakuja

Pre GE2025 Baada ya ushindi wa Lissu na Heche, naliona bunge lenye mvuto linakuja

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Citizen_37

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2023
Posts
957
Reaction score
1,124
Hayawi hayawi yamekuwa, Licha ya matarajio makubwa kutokana na ushindi huo, nawaona CHADEMA wanaenda kukomba wabunge wengi kwenye uchaguzi mkuu.

Hii inatokana na furaha ya wananchi wengi wanachama na wasio wanachama kufurahia ushindi wa Tundu.

 
Back
Top Bottom