Baada ya uteuzi wa Philip Mpango kuwa Makamu wa Rais wa JMT, sasa naamini watu kama Makonda, Chalamila, Ole Sabaya hawana nafasi katika Serikali

Nina imani VP Mpango hatamuangusha Madame President. Raisi akiwa Safi na VP akiwa basi wale wachafu hawana tena nafasi ktk utawala wake time will tell
 
Maelezo yako yatabaki kuwa batili kwasababu Katiba imetaka hayo yafanyike endapo tu, Rais amepatikana kwa njia ya uchaguzi.
Kaisome Tena utaelewa.Na iko wazi hata kwa darasa la 7b kuelewa.
Wala haihitaji PhD kusoma na kuelewa.labda katiba uliyosoma si hii ya Tanzania ya 1977.
 
Utabiri umetimia
 
Wataalam wenye macho makali, kongole nyingi kwako.
 
Mimi nina hasira na Ally Happi, tumbua hilo dubwana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…