Papa Mopao
JF-Expert Member
- Oct 7, 2009
- 4,153
- 2,647
Hii ni fact kabisaJinsi walivyojiandaa zaidi na siku ya mwananchi kuliko kujiandaa na mechi ya klabu bingwa hakika hawana malengo.
Sent from my A37fw using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni fact kabisaJinsi walivyojiandaa zaidi na siku ya mwananchi kuliko kujiandaa na mechi ya klabu bingwa hakika hawana malengo.
kwani kule confederation simba wamenda vipiKwan soka safi bado lipo Simba? Nikumbushe tafadhar
From someone suffering Schizophrenia.What is nbc premier League?
Is combination of 15 club which competing with simba sc in the title race.
___________________________________________
Huko walichukua kombe gani?kwani kule confederation simba wamenda vipi
Hebu tuache chuki simba hatuwawez mkuu kwa mashindano makubwa
La kuwapeleka uto viti maalumuHuko walichukua kombe gani?
Umeshajibiwa . Kuwapeleka uto viti maalumu CAF. Kwahiyo huridhiki na hilo jibu? Tangu uzaliwe ulikuwa umeshawahi kuona Tz inapeleka timu 4 mashindano ya CAF? Hayo tayari ni mafanikio.Wewe mbumbumbu acha janja janja, hebu taja hayo mafanikio ya kimataifa
Mbona wenyewe mpo viti maalum kwa sasa?La kuwapeleka uto viti maalumu
mbumbumbu onesha mafanikio ya simba kimataifa izo tantalila za kuwapeleka kimataifa zinahusiana vipi? Km hamuna cha kuonesha kimataifa ni bora mkaufyata kuliko kuonesha umbumbumbu wenu humu jukwaaniUmeshajibiwa . Kuwapeleka uto viti maalumu CAF. Kwahiyo huridhiki na hilo jibu? Tangu uzaliwe ulikuwa umeshawahi kuona Tz inapeleka timu 4 mashindano ya CAF? Hayo tayari ni mafanikio.
Huo muda wa kumtajia mteja wa kocha Luc Eymeil mafanikio ya simba unatoka wapi? Iko wazi , usukuleni mwenye akili ni Sunday na JK kwa mjibu wa utafti wa Haji Manara.mbumbumbu onesha mafanikio ya simba kimataifa izo tantalila za kuwapeleka kimataifa zinahusiana vipi? Km hamuna cha kuonesha kimataifa ni bora mkaufyata kuliko kuonesha umbumbumbu wenu humu jukwaani
Makolo FC kule Tabora game na KMC walipitia geti rasmi?Viongozi wa utopolo, benchi la ufundi na wachezaji wanakaa na kuamua wasipite geti rasmi kuingia uwanjani, sasa klabu kama hiyo itakupeleka wapi.
Wewe kanjanja unazunguka zunguka nini? Kama huwezi kuonesha mafanikio ya simba kimataifa ficha umbumbumbu wakoHuo muda wa kumtajia mteja wa kocha Luc Eymeil mafanikio ya simba unatoka wapi? Iko wazi , usukuleni mwenye akili ni Sunday na JK kwa mjibu wa utafti wa Haji Manara.
wanatuhakikishia kuingiza timu nne ligi ya mabingwa afrika msimu ujaoHuko walichukua kombe gani?
Hii ni point ya motoJinsi walivyojiandaa zaidi na siku ya mwananchi kuliko kujiandaa na mechi ya klabu bingwa hakika hawana malengo.