Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,351
- 9,855
Hapo Manji kasepa na wachezaji hawalipwi, hakukua na namna yoyote ile timu ingefanya chochote cha maana. Kusingekua na msuguano wa manji na magufuli nadhani historia ingekua tofauti. Hata mechi na usm alger wachezaji walibembelezwa kwenda kukamilisha ratiba maana hawakuwa wakilipwa.Wakashindwa hadi na Rayon sport ya Rwanda
Pole...Kwa Jinsi ulivyozipanga ' excuses' hapa....nilifikiri jamaa Katunga Kwamba Rayon Sport naye aliwagegeda...!Hapo Manji kasepa na wachezaji hawalipwi, hakukua na namna yoyote ile timu ingefanya chochote cha maana. Kusingekua na msuguano wa manji na magufuli nadhani historia ingekua tofauti. Hata mechi na usm alger wachezaji walibembelezwa kwenda kukamilisha ratiba maana hawakuwa wakilipwa.
Jifunze kutofautisha facts na excuses. Sio rayon tu, yanga hiyo ilitoka sare na mbeya city huku benchi wakiwepo wachezaji wawili tu, na haikua na sub ya kipa. Yanga ilipitia magumu mengi. Unless upo kishabiki ila ukweli upo wazi kabisa.Pole...Kwa Jinsi ulivyozipanga ' excuses' hapa....nilifikiri jamaa Katunga Kwamba Rayon Sport naye aliwagegeda...!
Hata hivyo hukuwa na sbb, Maana Yanga ni Timu isiyo na Historia Kubwa 'KIMATAIFA'