mbotoro kivoi
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 973
- 1,358
new model 300 series
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jiandae kisaikolojia si unalipa kodiGari za mafisadi na wenye pesa! - alisikia kiduku-lilo akisema!
Bujibuji na Kiduku Lilo we are classic, Kuna vitu hatutumiagiGari za mafisadi na wenye pesa! - alisikia kiduku-lilo akisema!
😂😂😂Hujapendezwa wew kama nan.mnunuaj au mpenZ mtazamaj na mshabik
Nzuri kwelikweliVietiiii
mama D unaisubiria hiyo [emoji23][emoji23][emoji23]
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Hivi Toyota na Tecno wana undugu ama..!!?Inakuwaje wanajamvi!
Kama mjuavyo Toyota land cruiser 200 series (viieite) wamesitisha utengenezaji kabisa. Sasa hivi utengenezaji utakuwa wa 300 series na picha zimeshaanza kuvuja itakavyokuwa.
Sijapendezwa na Hizi picha kwasababu body itapunguzwa upande wa juu utashuka kidogo.
Ila engine itakuwa na nguvu pia high performance. Pia itakuwa hybrid. View attachment 1695573View attachment 1695574View attachment 1695575View attachment 1695576View attachment 1695577View attachment 1695578
Ndio mkuu tena undugu wa damu chalii yanguHivi Toyota na Tecno wana undugu ama..!!?
Jiwe ni hovyo kabisa na reject hamba anachofanya ikuluHawa Wajapan wataitawala Dunia mpaka mwisho,
Wakati wenzetu wanavumbua vitu vikali,sisi kwetu viongozi kila siku,wakitaka wapate attention ya wananchi,utasikia,huyu kateuliwa,Yule katumbuliwa,vitisho kila kona,
We Raisi wa nchi anatunishiana misuli na Mtumishi wa halmashauri!!?uliona wapi?
Habari! Nawaona Toyota wanavyohangaika.
Sure brother.Bujibuji na Kiduku Lilo we are classic, Kuna vitu hatutumiagi
Kasitisha Marekani tu, jmaa kakurupuka japo zitaendelea kufyatuliwa dunia nzima ila zitakuwa V6 Hybrids sio Vieite tenaNikajua kasitisha marekani tuu kumbe dunia nzima
300 series zitakuwa V6 Hybrid hakuna tena Vieitee 😁😁😁Unaijua V8 300 series wewe[emoji23][emoji23][emoji23]
lilo ufanye pre-order tu!Habari! Nawaona Toyota wanavyohangaika.