Baada ya V8 kusitishwa picha mpya za Toyota land cruiser zavuja

Hivi Toyota na Tecno wana undugu ama..!!?
 
Hawa Wajapan wataitawala Dunia mpaka mwisho,
Wakati wenzetu wanavumbua vitu vikali,sisi kwetu viongozi kila siku,wakitaka wapate attention ya wananchi,utasikia,huyu kateuliwa,Yule katumbuliwa,vitisho kila kona,
We Raisi wa nchi anatunishiana misuli na Mtumishi wa halmashauri!!?uliona wapi?
 
Jiwe ni hovyo kabisa na reject hamba anachofanya ikulu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…