Baada ya video kusambaa mtuhumiwa mwenye pingu akipigwa, askari aliyehusika awekwa mahabusu

Video ya tukio pls!
 
Mtu yuko kwenye pengu unampiga

Ova
 
Huko mahabusu atiwe na Dole gumba akome tabia zake za kuonea raia.
 
Kuna watuhumiwa wanapigwa mpaka wanavunjwa miguu mwisho wa siku wanaonekana awana hatia na ulemavu washaupata.
 
Badilisheni curriculum yenu iendane na wakati wa ssasa, mwana umleavyo ndivyo akuavyo
 
Viko vingi tu zaidi ya hivyo.

Napendekeza askari wenu mue mnawapiga msasa matumizi sahihi ya PGO.

Wengi wao Yale mafunzo ya CCP washayasahau Wana act kwa hisia
Hiyo PGO ina msimu na msimu, maeneo na maeneo, watu na watu
 
Hapo bila shaka askari alikuwa ashakula advance kutoka kwa mwenye simu, na kaambiwa iliyobaki utaipata simu ikipatikana...
 
Hiyo imechukuliwa hatua kwasababu ya video kusambaa,ila bila hivyo hakuna ambaye angehangaika....... police wetu wanajiona wapo juu ya sheria na ukimuhoji huwa wanakuja juu as if humuheshimu..........
 
Elfu 50 aliyopewa askari ndio imesababisha yote hayo
 
Elfu 50 aliyopewa askari ndio imesababisha yote hayo

wizi mbaya.

unapona kuchomwa moto na wananchi,unabahatika kuokolewa na afande nayeye anapewa 50k akuweke sawa.

hii ni funzo kwamba wizi haufai,huwezi kuwa mwizi ukawa salama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…