Baada ya video kusambaa mtuhumiwa mwenye pingu akipigwa, askari aliyehusika awekwa mahabusu

hawa dawa yao unaenda umtrombea mkewe na mama yake, ni raha sana ukiwafanyia hivyo 😊
 
Maaskari wengi wa bongo hawana akili na huko kutokuwa na akili kunawafanya wasijue sheria.Yaan mtu ni askari lkn sheria hajui dah huruma sana kwa kweli wao wanachojua ni kutumia nguvu tu
 
Hiyo ni smartphone imesaidia. Sijui ambapo hakuna simu hali ipoje.
 
Hiyo video imeonyesha treatment anoyopewa mtoto wa waziri akifanya kosa na kuwa kituoni pamoja na mimi raia wa kawaida, hivi yule dogo wa simbachawene alipandishwa mahakamani?
 
Askari atoke bhna, wezi wapigwe wafe, ningekuwa na mamlaka ya kunyonga ninge nyonga wezi wenye kukamatika ni wezi, ushahidi ukiwepo mwizi afe tu.
 
Spidi iliyotumiwa na Jeshi la Polisi kuchunguza, kumkamata mtuhumiwa na hadi kupata Simu pamoja na mnunuaji ni la kupongezwa...Kama tu wanaweza fanya vivyohivyo na uhalifu- unaotokea kwenye nyara/rasilimali za Taifa-.ofisi za umma. Kuna tuhumu bwelele.

Huyo askari aliyefanya hilo ana walakin, yaani ana nguvu za kipolisi kisheria ana nguvu kama askari na ni dume na inawezekana alikuwa na bunduk, ni nguvu pia lakini kumbe ni bwegeeeee! Mtu ana pingu halafu askari anajifanya bruce lee!
Wacha sheria ifanye.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…