understanding
Member
- Feb 17, 2013
- 75
- 34
Nanukuu, "Clouds fm siwaelewi mnatafuta nini . Nahisi mnatafuta kupakazwa mafuta ya ubuyu . Tafadhali Kusaga naona heshima inapungua . Hadi mifugo yako hujawalea vizuri . Mimi sio msanii na pia sitaajiriwa na ---- wowote yule . Stay away from me and my family"
Nanukuu, "Clouds fm siwaelewi mnatafuta nini . Nahisi mnatafuta kupakazwa mafuta ya ubuyu . Tafadhali Kusaga naona heshima inapungua . Hadi mifugo yako hujawalea vizuri . Mimi sio msanii na pia sitaajiriwa na ---- wowote yule . Stay away from me and my family"
Kusaga asipoangalia hii redio itamshinda maana siku zinavyozidi kwenda mbele watu wanaikimbia hii redio.
Hii redio ya clouds ni majungu mtindo mmoja wengi wameamua kusikiliza Times Fm,kama kibonde ndio anaiua kabisa,mpaka siasa zimeingizwa clouds walianza vizuri sasa wanaishia kubaya hawana tofauti na TBC ambao wamekosa watu wakuwasikiliza kabisa hata matangazo ya biashara wanakosa na clouds ndio hivyo tena kila unakopita wanaisema vibaya...... Acha ife..
yani huyo kibonde ndio anaharibu kabisa clouds ni mlopokaji asiye na mbele wala nyuma anakera sana.
yani huyo kibonde ndio anaharibu kabisa clouds ni mlopokaji asiye na mbele wala nyuma anakera sana.