Baada ya viongozi wa CHADEMA kukamatwa, je tutegemee tamko kutoka ubalozi wa Marekani?

Baada ya viongozi wa CHADEMA kukamatwa, je tutegemee tamko kutoka ubalozi wa Marekani?

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wanabodi,

Nadhani wote tuliona kuwa ubalozi wa Marekani ulitoa tamko kuhusu utekaji na kuuwawa kwa aliyekuwa kada wa CHADEMA Ali Mohamed Kibao.

Siku ya leo viongozi wa CHADEMA ikiwemo Freeman Mbowe na Tundu Lissu walikamatwa na Jeshi La Polisi pindi wakiwa mbioni kuongoza maandamano hayo.

Je tutegemee ubalozi wa Marekani, kutoa tamko kama lile walilolitoa baada ya kifo cha Ali Kibao kulaani kitendo hicho cha Jeshi la Polisi?

Soma Pia: Rais Samia Kwa Mabalozi: Hatupo hapa kuelekezwa nini cha kufanya kwenye nchi yetu

Au ndo wataogopa baada ya maneno kutoka kwa mwanakizimkazi kuwa tunachojua tunachokifanya,, msituingilie
 
Tutaona mengi mbona, mana tuliambiwa yule jangili amekufa na kwamba nchi sasa inatabasamu watu wanafuraha nyusoni tena wengine walifanya sherehe pendi msiba ulipo tokea.

Sasa nini kimetokea hadi mgombane na rafiki yenu kipenzi.

Kwani anaye toa maelekezo ya watu kutekwa na kupotezwa si alishakufa?.
 
Wanabodi,

Nadhani wote tuliona kuwa ubalozi wa Marekani ulitoa tamko kuhusu utekaji na kuuwawa kwa aliyekuwa kada wa CHADEMA Ali Mohamed Kibao.

Siku ya leo viongozi wa CHADEMA ikiwemo Freeman Mbowe na Tundu Lissu walikamatwa na Jeshi La Polisi pindi wakiwa mbioni kuongoza maandamano hayo.

Je tutegemee ubalozi wa Marekani, kutoa tamko kama lile walilolitoa baada ya kifo cha Ali Kibao kulaani kitendo hicho cha Jeshi la Polisi?

Soma Pia: Rais Samia Kwa Mabalozi: Hatupo hapa kuelekezwa nini cha kufanya kwenye nchi yetu

Au ndo wataogopa baada ya maneno kutoka kwa mwanakizimkazi kuwa tunachojua tunachokifanya,, msituingilie

Wamekamatiwa nini? Walikuwa wanaandamana? Kama hawakuwa kwenye maandamano ambayo polisi waliyakataza, kuwakama maana yake nini?
Naogopa sana. Naona kama kuna arrogance inaendelea itakuja kuleta shida siku moja. Mwenyezi Mungu atunusuru
 
Back
Top Bottom