STEIN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2010
- 1,771
- 553
yakujitakia mwenyewe, tamko la nini?????????
Unamaanisha nini, Polisi watoa hukumu kwa wananchi? wewe umepotea au umepotezwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yakujitakia mwenyewe, tamko la nini?????????
kwahiyo watu kulipwa fidia imekukera eeh!
Hao ardhi na wenyewe wakionesha msimamo kama vijana wa dom mambo yatawanyookea.
si walimchangia milion moja kikwete akachukue form ya kugombea urais? ngoja viwatokee puani sasa...
Kama CCM inamiliki UDOM basi CCM wako juu ile mbaya, wakati CHADEMA hata ofisi ya chama ni kibanda.. What is the sense??
Nawachukia mnaosema UDOM ni chuo cha CCM maana mnaipaisha hiyo CCM yenu balaaa, maana kile chuo ukubwa wake na buildings zilizopo ni UDSM mara 7.
basi kama ni kulipwa fidia walipwe hata vijan wa UDSM waliopata tabu kipindi kile,kama serikali haina ubaguzi ionyeshe hivyo kwa wote waliowahi kugoma na kupoteza mali zao!mantiki iliyopo sio kukomaa bali ni chuo cha chama-CCM.