Auz
JF-Expert Member
- Apr 6, 2016
- 13,539
- 11,419
Hata sasa zipo taarifa za kitabibu zinazotunzwa na taasisi uliyokwenda kwa matibabu. Ikitokea unapelekwa taasisi nyingine kwa uchunguzi au matibabu zaidi, wataalamu wa hizo taasisi mbili huwasiliana na kutumiana taarifa za mgonjwa. Japo bado ni kwa mafaili/ karatasi /(barua pepe kwa nadra) zaidi ya wenzetu ambapo ni kielekronika (digitali).
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app