Leo tumekukamata kwa kuchapia!Wao zuri nankwamkuongezea Tu, Watanzania wote wapimwe maradhi ya nafsi, wazimu, wehu,. uchizi na records zao ziweze kuwa accessible nan yeyote maana nahisi kama idadi kubwa ya Watanzania ni wehu wehu.
😂😂😂Huko Ulaya kuna mahackers kibao,na hackers wengine wanazaliwa..na bado wana hii system,hili la udukuzi ni kazi ambayo wizara itahakikisha inalisimamia ipasavyo..benefits ni nyingi Zaidi kuliko hofu ya udukuzi… halafu sina ngoma..mkuu 😡😡😡
hahahah mkuu asante kwa kunisahihisha...nilikua namaanisha private hospitalsKuna tofauti gani kati ya gorvernment hospital na publick hospital?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli babaTanzania tunachukulia kirahisi sana hizi habari. Kwa sababu ya ulimbukeni.
Kutaka habari za afya ziwekwe pamoja kabla hata ya kuwa na sheria ya kuongoza hilo ni hatari sana.
Na hata sheria zikiwepo, sheria ambazo haziwezi kuwa enforced ni kama sheria ambazo hazipo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mr Q, Tanzania tunachukulia kirahisi sana hizi habari. Kwa sababu ya ulimbukeni.
Kutaka habari za afya ziwekwe pamoja kabla hata ya kuwa na sheria ya kuongoza hilo ni hatari sana.
Na hata sheria zikiwepo, sheria ambazo haziwezi kuwa enforced ni kama sheria ambazo hazipo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hello JF,
Sijui kama hii system ipo tayari.
Ila nadhani wizara ya afya inawajibika kuwa na Patients Records System...
Ambayo si tu kwa Government Hospitals..
Bali kuwe na Connectivity...
Both Government and Private hospitals..
Inapendeza mtu akiumwa akienda mahali kupata msaada...
Then history yake inajulikana in detail...
Kumjua mtu past history yake..inaweza ku aid diagnosis na improved treatment outcomes...
Sawa.Mnhhh....
Tatizo lako hamna sheria kabla ...
Kwani si tunatoa tu mawazo..
Wenyewe ndio watafanya feasibility study???
Nilitegemea utasupport..LOL...
Hii sio tu kwa wagonjwa ...
Bali its easy ku monitor vitu vingine pia ambavyo vinaweza kusaidia Afya kama Researchers, Policy makers..etc..
Data ndio zinatoa picture..vingine vinafuata
bora hata umeliona hili.Mr Q, Tanzania tunachukulia kirahisi sana hizi habari. Kwa sababu ya ulimbukeni.
Kutaka habari za afya ziwekwe pamoja kabla hata ya kuwa na sheria ya kuongoza hilo ni hatari sana.
Na hata sheria zikiwepo, sheria ambazo haziwezi kuwa enforced ni kama sheria ambazo hazipo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mleta mada hajui kuwa mifumo hii ipo siku nyiingi lakini tatizo letu ni application, tuliishazoea kukaa makoridoni kutafuta rushwa mifumo hii siyo rafiki huku kwa wataalamu wetu.Muhimbili na Mloganzila wana hii kitu. Wanatumia system moja. Ukifungua file Muhimbili ndiyo hilohilo utatumia Mloganzila. Na Clinic zoooote ulizohudhuria zinaonekana kwenye system regardless umeenda wapi, management na vitu vingine ulivyohudumiwa vinaonekana.
Changamoto kubwa kwenye hizi hospitali zingine ni man power waliyonayo imezaliwa enzi hamna mambo ya computerized system. Hata wakipelekewa na wakapewa semina za namna ya kutumia they are less eager to comply with it.
Nakumbuka kuna hospitali moja kubwa tuu ya JWTZ walifungiwa computerized system maeneo yote na semina wakapewa lkn baada ya muda watu walirudi kwenye hardcopy files. Kizazi kilichopo kikiisha angalau mambo yatakuwa smoothly.
Unforgetable