Bufa
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 12,599
- 26,263
Ubunifu bongo ni zero
Ndiyo yale ya kuigana biashara
Kama vile hakuna vitu vingine vya kufanya
Msanii tunakutegemea uwe mbunifu siyo tu kwenye kubuni miziki hata kubuni fursa za kufanya kwa namna za kipekee kabisa
Wasanii wa bongo wengi ni washamba sana
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Wewe umebuni nini mkuu?