Ubunifu bongo ni zero
Ndiyo yale ya kuigana biashara
Kama vile hakuna vitu vingine vya kufanya
Msanii tunakutegemea uwe mbunifu siyo tu kwenye kubuni miziki hata kubuni fursa za kufanya kwa namna za kipekee kabisa
Wasanii wa bongo wengi ni washamba sana
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Jiba lenyewe baya et konde tvπYaani huyu champion wangu anajua Sana kuniangusha,anahitaji kupata management nzuri,Hana analojua mmakonde wa watu zaidi ya kuiga tuuu.....kwani si abuni hata Konde Pesa tu afungue microfinance kwani mpaka media Tenaππππ
ππππHebu fikiria jamaniJiba lenyewe baya et konde tvπ
sio koh koh yaw yaw fmAngeita Rajabu Fm
Huyu jamaa , ana ahadi kibao...utekelezaji hola