Baada ya wafuasi na viongozi wa Upinzani kukubaliana kuungana na Serikali ya CCM, Chama kipya cha upinzani kinahitajika haraka sana

Baada ya wafuasi na viongozi wa Upinzani kukubaliana kuungana na Serikali ya CCM, Chama kipya cha upinzani kinahitajika haraka sana

Corticopontine

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2019
Posts
666
Reaction score
1,277
Ni muda muafaka saasa wa kuunda Chama kipya cha upinzani kufuatia anguko kuu la upinzani baada ya upinzani uliopo kukumbwa na kimbuga Magufuli baadaye Upepo Samia ukaja kuwafagia kwa hiyo kwa mstakabali wa Taifa letu ni muda muafaka sasa wa kuunda Upinzani unaotetea masilahi mapana ya Watanzania na ni upinzani ambao utakuwa mbadala wa CCM

Nashauri upinzani mpya utengeneze mfumo wa kitaasisi badala ya kung'ang'ania sera za kidikteta kama za kilichokuwa Chama kilichokufa cha Chadema cha kung'ang'ana na viongozi wa aina moja sasa ni wakati wa kuwa na Chama kinachoheshomika na kinachofanya siasa za kulinda masilahi ya Nchi na rasilimali Zake

Naoendekeza viongozi wa Chama hiki watoke makundi yote ya nyanja za kijamii na kiuchumi ili kiwe na sera za uchumi wa kisasa Ultra modern economics na pia kiwe na sera zinazozingatia misingi ya Azimio la Arusha na sera za kuiweka nchi iwe ya kidemokrasia na Chama
 
Kama umeona upinzani haupo,unasubili Nini kuanzisha chama chako kipya?
 
Back
Top Bottom