Kuwa na kundi kubwa linaloangalia inawezekana kabisa ila haimanishi kuwa ndio Tv station kwa ajili ya corporate sponsors.Uwazi ni moja ya magazeti yanayouzika sana lakini sikuwa ona kampuni serious ikipeleka tangazo kwenye hili gazeti.Wasafi tv ndio inayoongozwa kwa kutazamwa na haijaanza vipindi rasmi
Hahahahaha wabongo wenzangu KONKi KONKi KONKilabda kila kona ya chumba chako cha kupanga
Mama umeona majibu ya wabongo lakiniHahaha hahaha ila JF raha sana.
Frequency zake tafadhali, ili nianze kuitafuta
Baada ya Wasafi TV kufanya vizuri kila kona ya TZ sasa Wasafi FM Coming soon,ila huku sasa kwenye radio station ndo kwenye ushindani halisi,ngoja tuoneView attachment 919856
Hahaha baba, mambo ni KONKI...hatari hatari. Stress for what??Mama umeona majibu ya wabongo lakini
haina haja, ni mb zako tu tembelea nyuzi kadhaa utajikuta una smile tuHahaha baba, mambo ni KONKI...hatari hatari. Stress for what??
Kona Barhiyo TV imefanya vizur kila kona zipi
Asante mkuu wacha ni tuneNi 88.9 dar es salaam
Acha kufananisha kifo na usingizi weweKuwa na kundi kubwa linaloangalia inawezekana kabisa ila haimanishi kuwa ndio Tv station kwa ajili ya corporate sponsors.Uwazi ni moja ya magazeti yanayouzika sana lakini sikuwa ona kampuni serious ikipeleka tangazo kwenye hili gazeti.
Acha kutukana watu,mkuu kwani hamwezi kujadiliana kwa nidhamu.Mashoga hawampendi Mondi sijui kwanini. Ukitaka kuwajua kaa kwenye huu uzi mpaka mwisho. Wanachuki sana.
Hee! hahahahahlabda kila kona ya chumba chako cha kupanga
Kwani hujui kuwa wasafi tv/radio ni kwa ajili ya wale wenzangu kama mimi ambao hatuko serious na world affairs zaidi ya team diamond na team kiba na wengine walioko kwenye kundi kama hilo mfano Wema.Acha kufananisha kifo na usingizi wewe
achana na vivulana vya Dar mda wote vinawaza kukata viunohiyo TV imefanya vizur kila kona zipi
Life is about entertainment broo, relaxKwani hujui kuwa wasafi tv/radio ni kwa ajili ya wale wenzangu kama mimi ambao hatuko serious na world affairs zaidi ya team diamond na team kiba na wengine walioko kwenye kundi kama hilo mfano Wema.
Inapatikana wapi mkuu,kila nliemuuliza karibu yangu hajuiWasafi tv ndio inayoongozwa kwa kutazamwa na haijaanza vipindi rasmi
Entertaiment ,unaimanisha nyimbo zetu za kibongo au ?Life is about entertainment broo, relax
We ni MUONGO MKOA mimi kwa kazi yangu ya cable tv system na sat dish installation ni wasafi haina impact kwenye ukweli yuseme tuWasafi tv ndio inayoongozwa kwa kutazamwa na haijaanza vipindi rasmi