Baada ya Watanzania kukamatwa na dawa za kulevya, hiki ndio kimemkuta Madee akiingia Afrika Kusini

poa tu wasachiwe kotekote.!!!
 
rais awajakusachi mpaka kwenye kabang??????!!!!!!
 
ha ha ha, nyabhingi you have made my deyoooo,
 
Last edited by a moderator:
Wavuliwe tuu hata nguo za ndani

"Nchi ngumu hii"
 
Kwa jinsi anavyoonekana hata ningekuwa mimi ni askari wa Afrika Kusini ningemkagua na kujiridhisha kuwa hana madawa. Hawa vijana lazima wajue kuwa muonekano wa mtu nao unaweza kumponza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…