Baada ya WB na Denmark kusitisha misaada na uhusiano wanaofuata ni Scandinavia, EU, UK, Canada na Marekani

Baada ya WB na Denmark kusitisha misaada na uhusiano wanaofuata ni Scandinavia, EU, UK, Canada na Marekani

Am just thinking of my mother, she's about to retire Na haya yamepitisha 25 Kwa 75% Na alivyo spender mamangu Na ccm die hard fan, lord have mercy! No wonder Joyce mapunjo alipotumbuliwa Tu ukatibu mkuu akajifia, dahh!
Haahaa mpe pole mama yako ...aisee
 
Kama nawaona vile USA na EU wanavyo mfanya mtu kama walivyo mfanya Hugo Chavez's
 
Hatukatai wewe natako lako bari tunakataa kutufanya wajinga tunao tamani matako yako
Hivi kwanini mnajifanya kuwa na uchungu na 'matako' ya watu kwani huwa wanawashirikisha wakiwa chumbani.
 
Tunapobeza umuhimu wao tutegemee kuzorota kwa uchumi pengine hali inaweza kuwa mbaya zaidi ya Zimbabwe.
Moja ya matamshi ya ovyo sana kuwahi kutokea katika Jukwaa la JF.

Huyo alitutisha, huyo by definition ndio Kibaraka wa mabeberu.

Ogopa sana.
 
Back
Top Bottom