Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Kafie mbele.Good bye.
Haahaa mpe pole mama yako ...aiseeAm just thinking of my mother, she's about to retire Na haya yamepitisha 25 Kwa 75% Na alivyo spender mamangu Na ccm die hard fan, lord have mercy! No wonder Joyce mapunjo alipotumbuliwa Tu ukatibu mkuu akajifia, dahh!
Kwa hiyo wewe umechagua uchukue ushoga na kuyaacha mengine.Si kila kitu kinachoamuliwa na hao mabwana zenu ni cha kukichukua,akili za kuambiwa changanya na za kwako
Kwa hiyo wewe umechagua uchukue ushoga na kuyaacha mengine.
Hivi kwanini mnajifanya kuwa na uchungu na 'matako' ya watu kwani huwa wanawashirikisha wakiwa chumbani.
Moja ya matamshi ya ovyo sana kuwahi kutokea katika Jukwaa la JF.Tunapobeza umuhimu wao tutegemee kuzorota kwa uchumi pengine hali inaweza kuwa mbaya zaidi ya Zimbabwe.