Baada ya WCB kutoa Wimbo: Ommy Dimpoz atao mapovu, Diamond amjibu

Mkuu mbona wewe humu watu kibao wanakusema hivyo, ina maana hao wanaokusema na wao ni hivyo?

Anyway, naamini unajua zaidi kwa sababu wewe ni mdau.
ukiona mtu anapinga saana au anawakataa saana hawa watu jua naye yumo 100%
 
na ni bora uamini ni uongo ila ukweli naujuaaaa mimi na hao niliowatajaa usimtazame mtu usoni au kuwa na watoto ndo ukamdefine mdefine kutokana na wanaomjua na sio wanaomsikia
Mkuu kama hizo tuhuma unazodai ingekuwa ni za kweli tungezipata kitambo maana kuna watu wengi sana wanatafuta weakness ya Chibu ili kumchafua we fikiria timu kiba, timu Jojo, timu wema, timu Nifah [emoji12] na wengineo
 
Sawa tumekusikia Ommy dimpoz , naona umekuja kutuliza maumivu huku jf
 
Mkuu kama hizo tuhuma unazodai ingekuwa ni za kweli tungezipata kitambo maana kuna watu wengi sana wanatafuta weakness ya Chibu ili kumchafua we fikiria timu kiba, timu Jojo, timu wema, timu Nifah [emoji12] na wengineo
we nawe umekuja mjini lini??kama hujawahi sikiaa basi lala huko ulipo na by the way i knw him very well in and out sa ukitajiwa jux au gabo si ndo utaandamana>??
 
Yule nae mpumbavu,ye mbona kashindwa kukaa nao hao wanawake wanamkimbia tu kashindwa kuwatuliza,sometime kuvunjika kwa mahusiano ni madhaifu ya mwanaume ye pia ni dhaifu+++++++ kutwa kushadadia yasiyomuhusu (tabia za kike)
Mgejua nay wamitego alipo perfom jana mgechoka!!! Nilikua kikazi sehem moja sengerema uko ndani ndani kunaitwa NYEHUNGE nikakutana na gari ney ka kaa juu wanamtangaza anaperfom kiingilio 3000/= nikawa najiuliza hawa si wanasemaga bila mil20 hawaperfom???? kweli anko amebana jamani!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…