Baada ya WCB kutoa Wimbo: Ommy Dimpoz atao mapovu, Diamond amjibu

Baada ya WCB kutoa Wimbo: Ommy Dimpoz atao mapovu, Diamond amjibu

Mkuu,alichofanya ni sahihi kabisa wala hajakosea,kamwambia vile ili aache hiyo tabia,yaani amemkemea kwa kuwadhalilisha wanaume

Halafu mkuu we kweli kwa akili yako unaamini suala la kununua views za youtube?,hivi kweli wamiliki wa mtandao wa youtube wanaweza kukupa zawadi ya kuwa una viewers wengi zaidi kwenye mtandao wao kwa youtube za kununuliwa,unataka kuniambia kwa watu walioadvance kiteknolojia kama hawa hawawezi kujua kama kuna views halisi na fake kweli?

Vitu vingine tujiongeze jamani,hao kinachowasumbua ni wivu wa mafanikio aliyonayo Diamond tu na si vinginevyo,wanamwona mwenzao hapumuliwi kama wao halafu anatusua mbaya,hilo ndio tatizo mkuu
Umeongea fact,: youtube sio wajinga kiasi uwe unanunua viewers alafu waje wakulipe pesa na tuzo pia wakupe.
Hawa wanaopiga kelele za viewers ni wale wenye chuki na wivu mwenzao anavyofanikiwa
 
We nae,sasa unabishana na mimi ambaye nimewasha Notification On huko insta?!

Aliyeanza kupost ni Diamond,ndipo baada ya dakika kama ishirini kupita Ommy povu likamtoka
Sasa hapo mbona Diamond ndiyo anaonekana amepanic?
Anaogopa nini?
 
Kwa akili ya kawaida ni wajinga tu wanaweza kuamini diamond ananunua viewers
Twende na facts
Diamond ana followers milioni 3 instagram ,
Youtube ana subscibers 422,320
Facebook ana followers milioni 1.5
Twitter ana followers 350,000
Mfono kwenye instagram akisema kuna nyimbo mpya imetoka nenda youtube , tuseme watu robo wameenda kutazama youtube maana yake ndani ya siku moja watu zaidi ya laki 500,000 wanaweza kutazama.
Akiweka nyimbo youtube wale subscibers 420,000 wanapata notifications maaana yake hao wote wanadondokea kwenye viewers.
Facebook na twitter nako hivo hivo
Ni akili ndogo tu ndo inaweza amini diamond ananunua views
What if hao subscribers, followers n.k ndio hao hao. Kwa Mfano Mimi nipo naye instagram, tweeter, facebook, YouTube
 
Ndiomana sijawai kuona dimpo akia na demu hadharani kumbe anapumulia du huyu jmaa starehe ya dunia haijui kabisa
 
Alafu ney wa mitego Alishasemaga kua toka anamjua dimpoz hajawai kuona wala kusikia demu wake au hata tetesi kumbe anapumulia sipo nimenukuu jamani
 
Umeongea fact,: youtube sio wajinga kiasi uwe unanunua viewers alafu waje wakulipe pesa na tuzo pia wakupe.
Hawa wanaopiga kelele za viewers ni wale wenye chuki na wivu mwenzao anavyofanikiwa
Ukinunua viewers YouTube hawatakulipa thereafter, acha kulopokwa dogo. The same applies kwa wale wanaonunua tuzo hasa zile zinazoenda sambamba na $¥£€
 
Kama itakuwa dimpoz hapumuliwi halafu diamond kasema anapumuliwa ili apate kiki..kiuwanaume itakuwa sio fresh kabisa hasa kwa baadae. Kuna wasanii wengi walipata skendo hizi tukaambiwa na habari zilivuma sana ni mashoga kipindi hicho lakini sasa wameoa na wana watoto.
Mfano Mr blue, mzee yusuph, dully sykes, michael jackson etc.
 
Ukinunua viewers YouTube hawatakulipa thereafter, acha kulopokwa dogo. The same applies kwa wale wanaonunua tuzo hasa zile zinazoenda sambamba na $¥£€
Akinunua mjengo mnasema katoa wapi hela ila hela za kunnua view na tuzo anazo mbona wabongo ni wavivu sana jamaa ana hustle usiku na mchana lkn watu hamuoni juudi zake
 
Kama itakuwa dimpoz hapumuliwi halafu diamond kasema anapumuliwa ili apate kiki..kiuwanaume itakuwa sio fresh kabisa hasa kwa baadae. Kuna wasanii wengi walipata skendo hizi tukaambiwa na habari zilivuma sana ni mashoga kipindi hicho lakini sasa wameoa na wana watoto.
Mfano Mr blue, mzee yusuph, dully sykes, michael jackson etc.
Vipi povu la ommy lenyewe unalikubali et???
 
Ni lazima kuwa na demu? na hata akiwa na demu ni lazima kumtangaza?
Kaamua kuweka maisha yake ya kimahusiano privately kwani lazma ajirecord bafuni analamba kwapa (Which is ulimbukeni) mwanaume wa ukweli huwezi kumuexpose mwanamke unahemushimu kiasi hicho tena mama watoto wako duh

Mbona wasanii wengi tu hatuwajui wapenzi wao
 
What if hao subscribers, followers n.k ndio hao hao. Kwa Mfano Mimi nipo naye instagram, tweeter, facebook, YouTube
Swali zuri maana yake ni kwamba usipoona bandiko instagram basi utakutana nalo facebook au twitter
Ndio maana siku hizi diamond akitoa nyimbo za wasanii wake hatoi tangazo wala haendi redio kuutoa kwa mara ya kwanza, anaanzia mitandaoni , anachokifanya ni kuwashtukiza mashabiki na anafanikiwa kwasababu ana fan base kubwa mtandaoni.
Ukitaka kujua nguvu ya diamond mtandaoni muulize jah prayzah wa Zimbabwe au akothee wa kenya watakwambia
Amevunja record ya zimbabwe kwa nyimbo aliomshirikisha diamond , au diamond anawanunulia viewers hadi watu waliomshirikisha?
 
Kaamua kuweka maisha yake ya kimahusiano privately kwani lazma ajirecord bafuni analamba kwapa (Which is ulimbukeni) mwanaume wa ukweli huwezi kumuexpose mwanamke unahemushimu kiasi hicho tena mama watoto wako duh

Mbona wasanii wengi tu hatuwajui wapenzi wao
You nailed it
 
haina haja ya mond kumjibu vile oomy coz mond naye ni kama ommy ila mondi ni mwiba yaan anafanya both..................................................................................means anaimba na kucheza kama hujaelewa utajijua so afunge bakuli i know him in and out sema ommy yy kapitiliza na anafanya hiyo moja saana dats why watu wanajuaaa meaaaaaans anaimba tu hahahah.........
 
Back
Top Bottom