Baada ya WCB kutoa Wimbo: Ommy Dimpoz atao mapovu, Diamond amjibu

Baada ya WCB kutoa Wimbo: Ommy Dimpoz atao mapovu, Diamond amjibu

Kwa akili ya kawaida ni wajinga tu wanaweza kuamini diamond ananunua viewers
Twende na facts
Diamond ana followers milioni 3 instagram ,
Youtube ana subscibers 422,320
Facebook ana followers milioni 1.5
Twitter ana followers 350,000
Mfono kwenye instagram akisema kuna nyimbo mpya imetoka nenda youtube , tuseme watu robo wameenda kutazama youtube maana yake ndani ya siku moja watu zaidi ya laki 500,000 wanaweza kutazama.
Akiweka nyimbo youtube wale subscibers 420,000 wanapata notifications maaana yake hao wote wanadondokea kwenye viewers.
Facebook na twitter nako hivo hivo
Ni akili ndogo tu ndo inaweza amini diamond ananunua views
Pia domo Ana mashabiki wengi sana east Africa sana sana Kenya, nMaa anapendwa sana, no ngumu kuamini ananunua viewwrs
 
nimewaza kwa sauti hilo neno kupumuliwa.....
nimejikuta nacheka tu
 
Copy
1479878813895.png

Paste
1479878835145.png
 
Kwa Akili ya kawaida tu sidhani kama kweli ommy anaopumuliwa kisogoni ila kwenye ugomvi wa kiume ukitaka u win kirahisi mwambie tu unapumuliwa kisogoni kwa sababu kwa mwanaume rijali lazma roho ikuume mana umeshushiwa hadhi yako, so diamond kaamua kumpausha kimtndo asa ukzngatia hasira
Ila inawezeka anapumuliwa kweli mbona hii skendo imekuwa ina muda sasa na hatumuon na dem yeyote yule
 
Pia domo Ana mashabiki wengi sana east Africa sana sana Kenya, nMaa anapendwa sana, no ngumu kuamini ananunua viewwrs
Huo ndo ukweli hata nje ya east africa anamashabiki wengi sana , ukitaka kuamini ukisoma comments kwenye videos zake utaona kuna watu wa liberia, nigeria, cameroon, togo , zambia, zimbabwe, usa ha nchi za europe , tena wengine wanaandika kiarabu, kifaransa na lugha zingine.
Utagundua tu ni mtu mwenye mashabiki wengi
 
Wote mziki wao ni wa kawaida sio Domo, Kiba wala Ummy.
Washukuru media na unyumbu na chuki wa baadhi ya watz.
Ben Paul, Jux, Rama D kwangu naona ni bora kuliko hao watafuta kick.
Sio kweli acha kukariri mtu kama diamond anatred africa nzima tena kuliko nyumbani.
Tena siku hizi nyimbo zake zinapigwa zaidi nje ya nchi kuliko nyumbani kimzunguko.
Hata shows diamond anashow nyingi za nje kuliko nyumbani,
Mwaka huu shows alizofanya tz hazifiki 10 ila amefanya showz zaidi ya 40 nje
 
Baada ya rich mavoko kuachia wimbo aliomshirikisha diamond ,
Msanii alie karibu na alikiba ommy dimpoz amaamua kurusha dongo kwa WCB huku akiamini WCB wananunua viewers
View attachment 438131
Hata hivyo kama mnavyojua Diamond na uswahili wake hakutaka kuacha lipite kimya kimya akaamua kumjibu ommy dimpoz kwa kutupia dongo
View attachment 438132
Kila siku nasemaga humu ndani tatizo la Ommy ana vitabia vya kike kike snitch sana yule dogo,kuside kwake na kiba na wakina wema ni wazi kabisa una malengo hasi na WCB,si unakjmbuka kipindi kile yuko close na Chibu alikua ana msema vibaya Ali...leo kaanza urafiki na Kiba ameanza kuwasema vibaya WCB.dogo chok.o kweli huyu.
 
Alichokifanya diamond sio sahihi ashindane kwa hoja sio matusii,angeonyesha kweli wao wcb awanunui views lakini kwa jibu la kumtukana tusi kubwa km ilo ni dalili za kupanic alafu kwa mtu km diamond akupaswa ajibu kitu kidogo kama icho ila angeonyesha kwamba shutuma anazotupiwa azina ukweli..


Mkuu,alichofanya ni sahihi kabisa wala hajakosea,kamwambia vile ili aache hiyo tabia,yaani amemkemea kwa kuwadhalilisha wanaume

Halafu mkuu we kweli kwa akili yako unaamini suala la kununua views za youtube?,hivi kweli wamiliki wa mtandao wa youtube wanaweza kukupa zawadi ya kuwa una viewers wengi zaidi kwenye mtandao wao kwa youtube za kununuliwa,unataka kuniambia kwa watu walioadvance kiteknolojia kama hawa hawawezi kujua kama kuna views halisi na fake kweli?

Vitu vingine tujiongeze jamani,hao kinachowasumbua ni wivu wa mafanikio aliyonayo Diamond tu na si vinginevyo,wanamwona mwenzao hapumuliwi kama wao halafu anatusua mbaya,hilo ndio tatizo mkuu
 
sina ubaya na Mond ila naona kabisa anguko lake litakua baya vibaya sana,na hasa kwa wingi wa wafanyakazi alionao na matumizi kila mwezi aombee aendelee kubaki hapo hapo,

Zari kaliona hilo ndio maana kamuingiza king anunue nyumba south ambayo Zari ni kama mmiliki.
kwani akitikisika kidogo tu ndio kwa heri,wadhamni watavunja mikataba na hao wooote kina salam sijui babu tale sitanii hatawaona hata wakimkaribia .tupo hapa hapa na tutakuwepo hayo yakitokea
Unapowaza hili wenzio wanawaza lile,kama anguko lake laja mwenzio keshajiandaa hakuna asset muhimu kama umiliki wa majengo. Diamond ni mjanja na anajua anachokifanya unless otherwise uwe ndo sponsor
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] nasikia siku hizi hadi wajanja wanaliwa (in young killer voice)
 
Kwa Akili ya kawaida tu sidhani kama kweli ommy anaopumuliwa kisogoni ila kwenye ugomvi wa kiume ukitaka u win kirahisi mwambie tu unapumuliwa kisogoni kwa sababu kwa mwanaume rijali lazma roho ikuume mana umeshushiwa hadhi yako, so diamond kaamua kumpausha kimtndo asa ukzngatia hasira
Ingia page ya tzshaderoom angalia post ambayo ommy anasherehekea birthday na yule tajiri wa GSM utapata walau kitu fulani
 
Back
Top Bottom