youngdonats18
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 685
- 443
tatizo nyota,mama ubaya alitaka kukimbilia bungeni akatafute kiki kwa kiswa-english change..Nw amekaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndimu za CCM Kali asee,labda aamie UKAWA,Hahahaaa bora wapate kwa kupumzikia...KUKATWA si shughuli ndogooo.
Sidhani kama hata iyo nyota ashawah kuwanayo,WEMA MWISHO MAGAZETI NA KILI AWARDS,nyota take IPO huko that's Y amekatwa ili aandikwe zaidi..?!Nyota imegoma
Nafikir hata iyo supu ya ndimu yako iko out of target mana hata ndimu hazinyweki,sa iv mwendo wa vitanzi tuuhahaha bonge la dongo, nna mpango wa kufungua biashara ya malimao maana...
Watanyooka tu hao timu vigodoro sasa mtu kashow love kwa wanasingida kiroho safi......mwaka huu vinegar watakunywa kma juice chibu anawaweza sana halafu hakuna tusi jipya hpo
Next inawahusu wote ambao huwa wanaonekana kila siku kwa wema*Inn My Shoes*wanna walitegemea mashavu ya honourable WemaJOKATE√√√WEMA√√√Wote hao washanyooka, who's next?
Nafikir kati ya watakao fuata kwa kunyooka in this hot period,in weweNilitaka zote 7 ila hizo 6 zinatosha kingkiba umetisha in wema's voice...... Ngoja Mondi aongeeee
Wanasingida wamemknock Wema down,now anapumulia milija tuu*watanzania wanahitaji mabadiliko na sio kuleta upuuzi bungenUnayajua matusi Mkuu hakuna tusi hapo.mimi siku zote huwa nasema Wema angekuwa anajitambua aiseee.. angekuwa na pesa mbaya Wema ni pesa yule ule umaarufu (umeanza kufa) ilikuwa ni pesa watu wanaomzunguka Wema hawajitambui Jina la Wema ni mgodi ningekuwa ndio meneja wake tungekuwa matajiri kwa jina lake jina la Wema ni biashara tosha asingeishi kwa kutegemea mabwana. Ila hapa nilipo nakunywa bia kusheherekea kukosa ubunge kwao maana hawajitambui karibuni koppa Cabana hapa tbt natoa ofa
Kwenye Udiwani ndo kushajaa kabisa,labda akajaribu Nyumba10,kitu cha mtaa kwa mtaa,ilA na wasiwasi mana majirani zake hawamwelewi kabisaa,bora aanze kushot movie mpyaHiv alidhan ubunge n mchezo wa kuigiza!?? kuwa sasa umefulia huna chanzo cha mapato unaamua kujitupia tu kwny ubunge!! kwel Kanumba kaondoka na ndoto za wengi. Nyota ya uigizaj imekufa kbsa, kabak na umaarufu bila shughuli ya kueleweka mjn.. Anyway kakosa ubunge akawahi udiwan kata km bdo hajachelewa..! Hatuhitaj wasanii bungeni
King kiba mwenywe kampost Leo halafu nyie team kiba bhn yaan mwemzenu alikuwa anawapost 24/7
Nligombeaga Hall representative chuo, NIKAKATWAAA jamani nililiaa kila MTU nilimuona mwangaaa....Sipati picha ana hali gani.
Hahahahaha pole aiseeeNafikir kati ya watakao fuata kwa kunyooka in this hot period,in wewe
Huyu ndomo mbona anaweweseka sana na ma exs wake? Mpaka anaboa yani nadhan kuna vitu anamis kutoka kwa wema na jokate sio bure, mtu huwez kumuongelea ex wako bila sababu za msingi
I dnt know what next in her lfe. Anaelekea changanyikiwa. Anyooke tu
Huyu ndomo mbona anaweweseka sana na ma exs wake? Mpaka anaboa yani nadhan kuna vitu anamis kutoka kwa wema na jokate sio bure, mtu huwez kumuongelea ex wako bila sababu za msingi
Kiba alilipwa shilingi ngapi? Na Diamond alilipwa shilingi ngapi tena huko Singida?
Basi huyo kiba hajielewii utaachaje hela hivi mwisho wa siku anatuletea vedio za elfu 43Show ya singida kiba hakwenda sababu ya ramadhan japo naye was officially invited.