Baada ya Wema kubwagwa, Diamond achafua hali ya hewa

Baada ya Wema kubwagwa, Diamond achafua hali ya hewa

tatizo nyota,mama ubaya alitaka kukimbilia bungeni akatafute kiki kwa kiswa-english change..Nw amekaa
 
Watanyooka tu hao timu vigodoro sasa mtu kashow love kwa wanasingida kiroho safi......mwaka huu vinegar watakunywa kma juice chibu anawaweza sana halafu hakuna tusi jipya hpo

Hahahahahaa mkuuu umeniacha hoii, warumi nmeona km like yako????? upo mkuuu?????
 
JOKATE√√√WEMA√√√Wote hao washanyooka, who's next?
Next inawahusu wote ambao huwa wanaonekana kila siku kwa wema*Inn My Shoes*wanna walitegemea mashavu ya honourable Wema
 
Unayajua matusi Mkuu hakuna tusi hapo.mimi siku zote huwa nasema Wema angekuwa anajitambua aiseee.. angekuwa na pesa mbaya Wema ni pesa yule ule umaarufu (umeanza kufa) ilikuwa ni pesa watu wanaomzunguka Wema hawajitambui Jina la Wema ni mgodi ningekuwa ndio meneja wake tungekuwa matajiri kwa jina lake jina la Wema ni biashara tosha asingeishi kwa kutegemea mabwana. Ila hapa nilipo nakunywa bia kusheherekea kukosa ubunge kwao maana hawajitambui karibuni koppa Cabana hapa tbt natoa ofa
Wanasingida wamemknock Wema down,now anapumulia milija tuu*watanzania wanahitaji mabadiliko na sio kuleta upuuzi bungen
 
Hiv alidhan ubunge n mchezo wa kuigiza!?? kuwa sasa umefulia huna chanzo cha mapato unaamua kujitupia tu kwny ubunge!! kwel Kanumba kaondoka na ndoto za wengi. Nyota ya uigizaj imekufa kbsa, kabak na umaarufu bila shughuli ya kueleweka mjn.. Anyway kakosa ubunge akawahi udiwan kata km bdo hajachelewa..! Hatuhitaj wasanii bungeni
Kwenye Udiwani ndo kushajaa kabisa,labda akajaribu Nyumba10,kitu cha mtaa kwa mtaa,ilA na wasiwasi mana majirani zake hawamwelewi kabisaa,bora aanze kushot movie mpya
 
Nligombeaga Hall representative chuo, NIKAKATWAAA jamani nililiaa kila MTU nilimuona mwangaaa....Sipati picha ana hali gani.

Itakuwa ni hall three au hall seven pale...pole saana mamii
 
Huyu ndomo mbona anaweweseka sana na ma exs wake? Mpaka anaboa yani nadhan kuna vitu anamis kutoka kwa wema na jokate sio bure, mtu huwez kumuongelea ex wako bila sababu za msingi

Watu wameshanyooka
 
Huyu ndomo mbona anaweweseka sana na ma exs wake? Mpaka anaboa yani nadhan kuna vitu anamis kutoka kwa wema na jokate sio bure, mtu huwez kumuongelea ex wako bila sababu za msingi

kachoka kutukanwa acha awape vijembe ,Daimond Hana Moyo WA chuma
 
Hahhahhaha......... Naona singida washamnyoosha bibie...rula inasubiri
 
Back
Top Bottom