Baada ya Wema Sepetu kutoswa na Calisah arudi kuimba nyimbo za diamond


Sure, hapo hawajaweka zile ambazo yeye siyo starring (alizoshirikishwa)
 
Huko Insta kumechafuka inaonekana kuna vita ya kuchafuana ,

Kati ya wadada wa mjini wenye bifu na Wema kina Milly,

Hii kitu kuvuja ni katika kumuharibia Wema ,na walihakikisha wanaipata hiyo clip kwa gharama zozote,

Ni vizuri sasa na yeye Wema kutulia na kuangalia mbele mambo ya kipuuzi aache.
 
zilikuwa kama ngapi hivi relationships zako eti?
Mfundisheni ubinaadam huyo mama kwa kweli anatia aibu.
 

Ila jamani, wewe upo chumbani na mpenzi wako, mnarekodi mambo yenu mnayofanya kitandani, mimi mtu wa nje ntajuaje mpaka nitumie gharama kutafuta hizo rekodi zenu na kuzivujisha? kuvujisha wamevujisha wenyewe, tena sana sana ni huyo huyo calisah mana aliona amepata pa kutokea, wema anatumika bila yeye mwenyewe kujijua na hashauriki, watu hasa wa team yake walimuonya sana kuhusu huyo calisah lakini ndo kwanza akawaita monkeys na kuwambia wasimpangie maisha, leo hii lililosemwa limetimia anatafutwa mchawi nani
 
Kumbe Wema ni muigizaji mkuu? ndio maana hata maisha yake anayafanya kimaigizo igizo.

Movie yake moja inaitwaje niangalie japo sijui kama natapata huo mda
Ameigiza movie moja hivi,inaitwa White Maria ameigiza na R.I.P Kanumba.
 
wewe unafikiri anakusikia huyo anahitaji maombi ameshapatwa na roho ya ajabu ya dhambi
 
anasikitisha sana na urembo wote huu anakuwa hivi kwanini jamani kuna kitu hakiko sawa mahali au anakula bange anaona sawa .......... huruma
la mamake naye anachangia huu upuuzi
 
kuna namna si bure anatakiwa asali sana
 
Sasa huyo Calisah anakataa kama ndo yeye alozitoa, kwa kweli hujui umuamini nani, I had a lot of sympathy for Wema lakini naona kwa sasa mambo mengi ana ya invite herself kumfika.
 

Amna mwanamme anaejielewa atamfata Wema,kwanza ni kujidhalilisha.
 
Una akili sana,privacy...privacy...
Period
 
Hv n lazima kujirecord wanapofanya vtu vyao, they want to make a documentary kwamba cku wakifa wataacha hyo legacy for the next generation, kwel dunia ina mambo
 
Kwanini Kila mwanamme anayekuwa na Wema mnasema anamtumia?Rafiki anamtumia!
Huyo Wema anayetumika na kufaidisha watu ana lipi hasa?[emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Anatumika kuharibu jamii huyu binti anajua anachokifanya shit [emoji36][emoji36][emoji36]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…