Mkuu ndio ameigiza zoote hizi?
Year Title
2007 A Point of No Return
2008 Family Tears
2009 Red Valentine
2010 Sakata
White Maria
Tafrani
2011 14 Days
Lerato
Basilisa
The Diary
DJ Ben
2012 Crazy Tenant
House Boy
It Was Not Me
2014 Madame
2015 Mapenzi Yamerogwa
Saa Mbovu
Chungu Cha Tatu
2016 Family
zilikuwa kama ngapi hivi relationships zako eti?Swala sio nani kapita but some privacy,na watu ambao anakuwa nao na kurudia rudia makosa....mfano me relationships zangu zote kila nlpobreak nlkuwa najifunza kitu na sikuweza kurudia type ileile .... Wema needs a matured man anayejielewa alf akiachana na mitandao ya kijamii ataishi kwa furaha sana,akapunguza na marafiki akatulia kabisa atakuwa more happy lkn kwa hii mitandao,kila event ipo inamcost sana
Huko Insta kumechafuka inaonekana kuna vita ya kuchafuana ,
Kati ya wadada wa mjini wenye bifu na Wema kina Milly,
Hii kitu kuvuja ni katika kumuharibia Wema ,na walihakikisha wanaipata hiyo clip kwa gharama zozote,
Ni vizuri sasa na yeye Wema kutulia na kuangalia mbele mambo ya kipuuzi aache.
Ameigiza movie moja hivi,inaitwa White Maria ameigiza na R.I.P Kanumba.Kumbe Wema ni muigizaji mkuu? ndio maana hata maisha yake anayafanya kimaigizo igizo.
Movie yake moja inaitwaje niangalie japo sijui kama natapata huo mda
wewe unafikiri anakusikia huyo anahitaji maombi ameshapatwa na roho ya ajabu ya dhambiWema jamani mweeee[emoji134]
We uliemfanyia hivi dada wa watu Mungu anakuona..hizi si akili za kawaida jamani khaaa kutwa kujionyesha unalalana na mwanaume mpya kweli??? Hata kama maneno hayaui lakini yanaumba Wema utaishia pabaya we mwanamke jamani achaaaa
anasikitisha sana na urembo wote huu anakuwa hivi kwanini jamani kuna kitu hakiko sawa mahali au anakula bange anaona sawa .......... hurumaWema jamani mweeee[emoji134]
We uliemfanyia hivi dada wa watu Mungu anakuona..hizi si akili za kawaida jamani khaaa kutwa kujionyesha unalalana na mwanaume mpya kweli??? Hata kama maneno hayaui lakini yanaumba Wema utaishia pabaya we mwanamke jamani achaaaa
Sasa huyo Calisah anakataa kama ndo yeye alozitoa, kwa kweli hujui umuamini nani, I had a lot of sympathy for Wema lakini naona kwa sasa mambo mengi ana ya invite herself kumfika.Ila jamani, wewe upo chumbani na mpenzi wako, mnarekodi mambo yenu mnayofanya kitandani, mimi mtu wa nje ntajuaje mpaka nitumie gharama kutafuta hizo rekodi zenu na kuzivujisha? kuvujisha wamevujisha wenyewe, tena sana sana ni huyo huyo calisah mana aliona amepata pa kutokea, wema anatumika bila yeye mwenyewe kujijua na hashauriki, watu hasa wa team yake walimuonya sana kuhusu huyo calisah lakini ndo kwanza akawaita monkeys na kuwambia wasimpangie maisha, leo hii lililosemwa limetimia anatafutwa mchawi nani
Swala sio nani kapita but some privacy,na watu ambao anakuwa nao na kurudia rudia makosa....mfano me relationships zangu zote kila nlpobreak nlkuwa najifunza kitu na sikuweza kurudia type ileile .... Wema needs a matured man anayejielewa alf akiachana na mitandao ya kijamii ataishi kwa furaha sana,akapunguza na marafiki akatulia kabisa atakuwa more happy lkn kwa hii mitandao,kila event ipo inamcost sana
hivi huyu bint hana ndugu wa kumpeleka hata kwa waganga wa kienyejiU Heard: Kilichotokea Kwenye Familia ya Calisah Baada ya Video yake na Wema Kuvuja
November 14 2016 kwenye U Heard ya Soudy Brown amezungumza na Calisah kuhusu video iliyomuonesha yeye akiwa na staa wa Bongo Movie, Wema Sepetu wakikiss, Calisah amesema baada ya video hiyo kuvuja, bibi yake alipoambiwa kwa sababu alikuwa anamtetea sana Calisah alipata mshituko na kufariki……
’Hayo mambo yamesababisha mpaka nimepoteza mtu, amepata presha amefariki leo, siko sawa kabisa imenicost sana hata siwezi kuongea nimepoteza bibi yangu kwa sababu ya hivi vitu imeniumiza sana halafu mimi sijafanya hivyo vitu nivujishe video ili iweje‘ ;-Calisah
D
Una akili sana,privacy...privacy...Swala sio nani kapita but some privacy,na watu ambao anakuwa nao na kurudia rudia makosa....mfano me relationships zangu zote kila nlpobreak nlkuwa najifunza kitu na sikuweza kurudia type ileile .... Wema needs a matured man anayejielewa alf akiachana na mitandao ya kijamii ataishi kwa furaha sana,akapunguza na marafiki akatulia kabisa atakuwa more happy lkn kwa hii mitandao,kila event ipo inamcost sana
Kwanini Kila mwanamme anayekuwa na Wema mnasema anamtumia?Rafiki anamtumia!Ila jamani, wewe upo chumbani na mpenzi wako, mnarekodi mambo yenu mnayofanya kitandani, mimi mtu wa nje ntajuaje mpaka nitumie gharama kutafuta hizo rekodi zenu na kuzivujisha? kuvujisha wamevujisha wenyewe, tena sana sana ni huyo huyo calisah mana aliona amepata pa kutokea, wema anatumika bila yeye mwenyewe kujijua na hashauriki, watu hasa wa team yake walimuonya sana kuhusu huyo calisah lakini ndo kwanza akawaita monkeys na kuwambia wasimpangie maisha, leo hii lililosemwa limetimia anatafutwa mchawi nani