Baada ya Wenyeviti kuondolewa, Waziri Jerry Silaa avunja Bodi za TTCL, Shirika la Posta (TPC) na UCSAF

Influenza

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2018
Posts
1,509
Reaction score
3,756
TAARIFA KWA UMMA

Kufuatia Utenguzi wa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Mawasiliano Tanzania uliofanywa na Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tarehe 23 Julai, 2024, Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mheshimiwa Jerry William Silaa (Mb) kwa mamlaka aliyonayo amevunja Bodi ya Mawasiliano Tanzania kuanzia tarehe 02 Agosti 2024.

Kufuatia Utenguzi wa Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) uliofanywa na Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tarehe 23 Julai, 2024, Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mheshimiwa Jerry William Silaa (Mb) kwa mamlaka aliyonayo amevunja Bodi ya Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) kuanzia tarehe 02 Agosti 2024.

Kufuatia Utenguzi wa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Posta (TPC) uliofanywa na Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tarehe 23 Julai, 2024, Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mheshimiwa Jerry William Silaa (Mb) kwa mamlaka aliyonayo amevunja Bodi ya Shirika la Posta kuanzia tarehe 02 Agosti 2024.



Pia soma:
 
Bodo ya TTCL Bora ifutwe kabisa na ibinafisishwe.maana serikali imeshindwa kabisa kuiendesha TTCL.mtandao wa matapeli,vocha hamna,sehemu kubwa ya Nchi haishiki,ukipoteza lakini Yao kuirudisha upya mlolongo mrefu kama vile kesi ya madawa ya kulevya.
 
Mihemkoo tuuu hakuna la maana......
 
Sasa hv kila nafasi ya mjumbe wa bodi itatanfazwa wazi ukiona una sifa utaomba na utafanyiwa usaili raisi alisema abakishiwe nafasi ya wenyekiti tu. Kwahyo sasa hv utakuwa nimwendo wa interview tu.
 
Bodo ya TTCL Bora ifutwe kabisa na ibinafisishwe.maana serikali imeshindwa kabisa kuiendesha TTCL.mtandao wa matapeli,vocha hamna,sehemu kubwa ya Nchi haishiki,ukipoteza lakini Yao kuirudisha upya mlolongo mrefu kama vile kesi ya madawa ya kulevya.
Hilo shirika la TTCL libinafusishwe, hata wafanyakazi wahawamishwi wapo sehemu moja miaka yote na kazi hawafanyi.
 
Alafu mfumo wa kifushi kujinunua chenyewe ni wizi, Huo mfumo waziri aufute haraka.
 
Yeye anawekewa kifurushi cha milioni moja kila mtandao bado rushwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…