Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Ni board ipi iliteuliwa na viongozi wa CCM ikafaulu kwenye nini? tajaNi kweli but hamna namna. Hawez kufanya kazi na board iliyofeli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni board ipi iliteuliwa na viongozi wa CCM ikafaulu kwenye nini? tajaNi kweli but hamna namna. Hawez kufanya kazi na board iliyofeli
Chache sana, board ya ngorongoro 2010-2015, board ya bonde la maji. Kuna chache ambazo zimepeformNi board ipi iliteuliwa na viongozi wa CCM ikafaulu kwenye nini? taja
Kila board imejaa makada ajili ya kupiga pesa na siyo kuleta ufanisiChache sana, board ya ngorongoro 2010-2015, board ya bonde la maji. Kuna chache ambazo zimepeform
Wakati watu waki focus kwenye board ambazo ziko kwenye mashirika maarufu ndio zinatolewa macho, kuna board zingine zinapambana
Kuna kipindi ilkuja moto sanaTTCL ipo hoi haina ubunifu wowote
Mara ya mwisho kuona vocha ya TTCL ni 2019Kuna kipindi ilkuja moto sana
Inakamata popote nchin, lakin saiz hamna kitu natamani hata kuitupa lain yenyewe, ila navuta subra huenda kukawa na changes