Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,649
- 4,786
Ngoja niwasubili Gang Chomba na Putin
Tola niaje?
Mkuu tupo pamoja katika hili sakata, ila tofauti zetu ni kuwa wewe umekubali kupokea hii ishu bila kuitafiti zaidi na bila kuihoji au hata kusikiliza utetezi wa upande wa pili.
Ila kama kawa komredi tuko pamoja.
Last edited by a moderator: