Baada ya Yanga kutinga robo fainali kwa kishindo, timu zilizoshika nafasi ya pili kwenye makundi yao zinahaha kumkwepa

Baada ya Yanga kutinga robo fainali kwa kishindo, timu zilizoshika nafasi ya pili kwenye makundi yao zinahaha kumkwepa

Kilimbatzz

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2023
Posts
9,134
Reaction score
14,593
Nimepenyezewa za chini ya kapeti.

Zile timu zilizoshika nafasi ya pili kwenye makundi yao zinapishana pale HQ za CAF. Lengo lao eti CAF ichengeshe draw Ili wasikutane na miamba hii ya hapa Bongoland.

Kuna wengine mpaka wakaamua kuwaconsult maofisa na mashabiki wa Ile timu iliyopigwa nje ndani ya Raja Ili tu wawavujishie Siri ya jinsi wanavyopamabana na sisi humu nchini.

GENTAMYCINE hao walioshika nafasi ya pili hautowaepushia na kikombe Cha Dar es Salaam Young Africans na mkiendelea wewe na wenzako hiyo Derby ijayo tutamwambia Mayele asiwaonee huruma. kama mzunguko wa kwanza.

Kila hatua dua.
 
Zile timu zilizoshika nafasi ya pili kwenye makundi yao zinapishana pale HQ za CAF. Lengo lao eti CAF ichengeshe draw Ili wasikutane na miamba hii ya hapa Bongoland.
Utopolo punguzeni ushamba, yaani draw inawezaje kuchengeshwa kwa kuongea na maafisa? Mnafikiri maafisa wa CAF ni kama marefa wa bongo?
 
Nimepenyezewa za chini ya kapeti.

Zile timu zilizoshika nafasi ya pili kwenye makundi yao zinapishana pale HQ za CAF. Lengo lao eti CAF ichengeshe draw Ili wasikutane na miamba hii ya hapa Bongoland.

Kuna wengine mpaka wakaamua kuwaconsult maofisa na mashabiki wa Ile timu iliyopigwa nje ndani ya Raja Ili tu wawavujishie Siri ya jinsi wanavyopamabana na sisi humu nchini.

GENTAMYCINE hao walioshika nafasi ya pili hautowaepushia na kikombe Cha Dar es Salaam Young Africans na mkiendelea wewe na wenzako hiyo Derby ijayo tutamwambia Mayele asiwaonee huruma. kama mzunguko wa kwanza.

Kila hatua dua.
Washiri wa kombe la wajane mna ushamba na ulimbukeni mwingi sana

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom